Mwandishi William Ngazija wa ITV akamatwa na Polisi mkoani Tanga

Wangeacha kwanza mama arudi ; wanazidi kuharibu..
 
Mpaka kufikia kupata cheo alicho nacho lazima awe mmama ama afanane na mmama mkuu
. Wanachakazwa sana!
Mkuu labda Kama nitakuwa nimekuelewa tofauti. Hivi wewe na umri,Elimu,ujanja,udadisi wako wote unaamini kuwa ub.oo unachakaza MWANAMKE!!!!! Unajidanganya mkuu saka maarifa kwanza ujiridhishe ndiyo urudi.

Kama ulichoandika ni kweli wangeanza kuchakaa wale dadapoa wanaokodisha miili yao.
 


"Ambaye pia ni Mlimbwende wa Tanzania wa miaka iliyopita Mtukufu Basila Mwanukuzi ."

Hiiiiii bagosha!
 
Au huyo mwandishi alishapewa pesa halafu hakurusha habari ya DC?
Atakuwa labda ana m diss ki mtindo akirejea enzi za Ulimbwende Wa DC,now kaamua kutoka mazima,kumuonyesha jamaa kuwa enzi na ushikaji wa Kipaparazi zilishapita.
 
Wewe ndiye haujui mambo mengi na si mtafiti.

Hivi mwanamke wa danguro waweza mlinganisha na mwanamke aliyetulizana ama mke wa mtu kwa muonekano na ki siha?

Hata K iliyochezewa kabla ya masaa6 kupita mi nikipewa naijua.

Mb ni kitu kingine wewe, kalhaga baho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…