Mkuu labda Kama nitakuwa nimekuelewa tofauti. Hivi wewe na umri,Elimu,ujanja,udadisi wako wote unaamini kuwa ub.oo unachakaza MWANAMKE!!!!! Unajidanganya mkuu saka maarifa kwanza ujiridhishe ndiyo urudi.
Kama ulichoandika ni kweli wangeanza kuchakaa wale dadapoa wanaokodisha miili yao.