nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Bandiko.halina hadhi Ya JF..Mods futa huu ugoro..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangeacha kwanza mama arudi ; wanazidi kuharibu..Taarifa zinaeleza kwamba Mwandishi huyo anayeripotia ITV kutokea Mkoa wa Tanga , amekamatwa na Polisi wa Korogwe na kulundikwa Sero kwa Amri ya Mkuu wa Wilaya hiyo , Ambaye pia ni Mlimbwende wa Tanzania wa miaka iliyopita Mtukufu Basila Mwanukuzi .
Bado haijafahamika kosa lake
Chanzo : Kitenge TV
Mkuu labda Kama nitakuwa nimekuelewa tofauti. Hivi wewe na umri,Elimu,ujanja,udadisi wako wote unaamini kuwa ub.oo unachakaza MWANAMKE!!!!! Unajidanganya mkuu saka maarifa kwanza ujiridhishe ndiyo urudi.Mpaka kufikia kupata cheo alicho nacho lazima awe mmama ama afanane na mmama mkuu . Wanachakazwa sana!
Taarifa zinaeleza kwamba Mwandishi huyo anayeripotia ITV kutokea Mkoa wa Tanga , amekamatwa na Polisi wa Korogwe na kulundikwa Sero kwa Amri ya Mkuu wa Wilaya hiyo , Ambaye pia ni Mlimbwende wa Tanzania wa miaka iliyopita Mtukufu Basila Mwanukuzi .
Bado haijafahamika kosa lake
Chanzo : Kitenge TV
Ni mpango wa munguBado ipo mkuu
Sio ukilaza tu na mengineyoInasemekana '' ndo miss Tanzania kilaza kupita wote Tanzania''.
Unasemaa?Usikute Basila alimuelewq jamaa alafu jamaa kachomoa
Atakuwa labda ana m diss ki mtindo akirejea enzi za Ulimbwende Wa DC,now kaamua kutoka mazima,kumuonyesha jamaa kuwa enzi na ushikaji wa Kipaparazi zilishapita.Au huyo mwandishi alishapewa pesa halafu hakurusha habari ya DC?
Wewe ndiye haujui mambo mengi na si mtafiti.Mkuu labda Kama nitakuwa nimekuelewa tofauti. Hivi wewe na umri,Elimu,ujanja,udadisi wako wote unaamini kuwa ub.oo unachakaza MWANAMKE!!!!! Unajidanganya mkuu saka maarifa kwanza ujiridhishe ndiyo urudi.
Kama ulichoandika ni kweli wangeanza kuchakaa wale dadapoa wanaokodisha miili yao.