Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

Lakini pamoja na kupenda wenye fuba la uhakika, pia uwe na moyo mgumu wa kuzuia yatokanayo na kumiliki pedeshee. Kuna mdada moja hapo mkoa wa Manyara alikula bata sana ikiwa ni pamoja na kununuliwa nyumba na usafiri wa uhakika, matokeo yake alikunywa sumu baada ya kugundulika wadudu wametia team ktk damu yake. Mtoto alikuwa amesimamia kucha balaa. Alitumia uzuri wake vizuri. Lakini Mungu alimpenda zaidi.
 
Haya ni mawazo hatari sana kuwemo kichwani mwa binadamu achilia mbali Mwanamke, tuanze kuchange mindset zetu kwanza.

Labda utueleze na wale wanaoachana na Waume zao wakati nyumbani kuna kila kitu sijui unasemaje hapo!!
mkuu wale wanatafuta mkunajina wakikuta" watoto wa paka" ndo wanahonga mbaya
 
Mnaleta shida zenu toka kwenu kuja kumalizia kwa mwanaume, kubweteka ndo mnajiendekeza. Mnataka mtafuniwe mje mmeze kilaini. Mfumo dume utawatafuna sana na watawatesha na pesa zao. Endeleeni kuuza kwa wenye pesa.
hujui kama watanzania kutafuniwa kila kitu 2mezoea ee hata kama ukijitahidi ni ujuzi kidogo 2 unaongeza lkn kila kitu umetafuniwa we wasubili kumeza 2 so usishangae eti mwanamke asubiria kutafuniwa wakati hata wewe unataka hadi umezeshwe
 
Nyie wanawake nimnaji-value in terms of money, kumbe hata wale wanaojuza pale Buguruni mpo nao sawa tu ila sema wale hawakubahatika kupata wenye pesa permanent
 
mwanaume mwenye upendo wa kweli ndio mpango mzima coz kama ni hela simtazitafuta???anaweza akawa na pesa lakini hakuna upendo ndio hapo ndoa inakuwa ndoano. Samahani wewe ni mchaga??
 
Mwanamke makalio na chuchu saa sita huna hivyo kaakushoto.
Sio unanijia hapa na makalio ya kijapan ukijumlisha matiti mpaka udeki ndo yasimame?
Natalia na mwnzio lara 1 kama hamna vigezo hivyo kaeni left hand.

sasa we Sauduari unataka mwanamke pesa au mwanamke chuchu saa sita chagua moja bana,halafu we unaonyesha unapenda kulelewa
 
Walalahoi utawajua tu wanapenda kulalamika ktk kila jambo tafuten hela achen longolongo
 
mwanaume mwenye upendo wa kweli ndio mpango mzima coz kama ni hela simtazitafuta???anaweza akawa na pesa lakini hakuna upendo ndio hapo ndoa inakuwa ndoano. Samahani wewe ni mchaga??

mapenzi sawa yana umuhimu lakini kuna umuhimu gani kupata asiye fighter hujui hata hatma ya mtoto shule, tusidangayane, wewe unaweza vumilia shida watoto je, si lazima awe tajiri lakini awe na uhakika wa kukupa ur ol asic nids
 
lakini sio kujibwetesha na kusubiri mwenye hela, kuna leo na kesho mwanaume anaweza kufa au kufilisika au kukufukuza. Kama hujajifunza kutafuta vyako si utakua chizi au kujinyonga? Sioni ajabu wanaume kuendelea kuwatesa wanawake kwasababu ya ujinga wao huo wa kutegemea kuolewa na wenye pesa tayari. Mwisho wa siku mtaanza kukimbilia women empowerment.
 
Hahahah men wa ckuhiz bana wanakwepa majukumu balaa, ni wajibu wenu kuwa sole provider in the house so mojawapo ya means ya ww kufanikisha hilo ni mkwanja msikimbie majukumu yenu nyie si ndo vichwa vya nyumba? Sasa kichwa gani kiko dhoofu lihali? B men play ur part
lakini sio kujibwetesha na kusubiri mwenye hela, kuna leo na kesho mwanaume anaweza kufa au kufilisika au kukufukuza. Kama hujajifunza kutafuta vyako si utakua chizi au kujinyonga? Sioni ajabu wanaume kuendelea kuwatesa wanawake kwasababu ya ujinga wao huo wa kutegemea kuolewa na wenye pesa tayari. Mwisho wa siku mtaanza kukimbilia women empowerment.
 
Hahahah men wa ckuhiz bana wanakwepa majukumu balaa, ni wajibu wenu kuwa sole provider in the house so mojawapo ya means ya ww kufanikisha hilo ni mkwanja msikimbie majukumu yenu nyie si ndo vichwa vya nyumba? Sasa kichwa gani kiko dhoofu lihali? B men play ur part

ndo maana mnataka wenye hela kabisa? hujui kukimbia majukumu ni tabia ya mtu?
 
na ngoma nje nje maana mkwanja si anao so akiamua demu yoyote anabeba tu ili mradi awe anamvutia

Hata wasio na pesa nao vicheche kama kazi! Bora huyu mwenye pesa ela ya ARVS anaimudu!
 
Mwanamke makalio na chuchu saa sita huna hivyo kaakushoto.
Sio unanijia hapa na makalio ya kijapan ukijumlisha matiti mpaka udeki ndo yasimame?
Natalia na mwnzio lara 1 kama hamna vigezo hivyo kaeni left hand.

Hahhaaaaaaaaa! Jamani wachina wote hawa tutakosaje! We dushelele unaloooo? Au ndo kibamia ila kelele nyingiiiiiiii!
 
mwanamke ni big booty nice boobs apart from that we ni wamazoezi tu...

Careful Broooooooo! Take it easy!!!!! Unatukana wake za watu hapa na wasio na hatia! Nileanzisha thread mwengine mikombora inawatungua wengine! At least show the decency ya kurushia mimi makombora, wengine waache in Peace!

Mwanaume Urefu babu, Mvuto na Pesa! La siivo ni wakuchunwa tu!
 
Yah man sasa bila shilingi utamtunzaje huyo mke? Tafuten monie m-play role yenu kama men haya mambo ya kusema mnasaidiana hayapo kwani muumba hakuamuru hivyo ni haki yangu kama mwanamke nihudumiwe kila kitu na mume wangu whether nina kazi ama beki3
ndo maana mnataka wenye hela kabisa? hujui kukimbia majukumu ni tabia ya mtu?
 
mhm wanaume tuendelee kusaka pesa...hawa naona daiky papuchi zao wanaziwekea monetary value...sasa hamna shida ila mkigegedwa na kuachwa msilalamike

Moyo wa mtu ni kiza kinene! Sasa unaweza kumpa bureeeeee ila akakuacha si mbaya ukitoza kiuchakavu kidogo!
 
Hahahahah anawasema wake za watu eeeh! Anataka mwanamke mrembo afu hana chapaa hzo si ndoto za mchana wa jua kali! Hahahahah
Careful Broooooooo! Take it easy!!!!! Unatukana wake za watu hapa na wasio na hatia! Nileanzisha thread mwengine mikombora inawatungua wengine! At least show the decency ya kurushia mimi makombora, wengine waache in Peace!

Mwanaume Urefu babu, Mvuto na Pesa! La siivo ni wakuchunwa tu!
 
Ndo huwa sound za wanawake wapenda pesa kuolewa kazi sana nyie..... Na huwa mnatumiwa kama vijiko vya kwa mama ntilie.
 
Mnaleta shida zenu toka kwenu kuja kumalizia kwa mwanaume, kubweteka ndo mnajiendekeza. Mnataka mtafuniwe mje mmeze kilaini. Mfumo dume utawatafuna sana na watawatesha na pesa zao. Endeleeni kuuza kwa wenye pesa.

Sasa kama napata bureeeeeeeee ya nini nijitume? We ukaange mihogo hadi ununue gari leo? Bora utafute mwenye nayo kumi akuazime moja uwekee heshima bar!
 
Back
Top Bottom