asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
hili ndilo la muhimu ,na hata mtu mwenye kipato cha wastani tu anaweza kulitimiza hili ilimradi awe mwanaume halisi anayetambua mipaka yake na wajibu wake kwa ujumla..........mengine ya ujentlomeni ,gud guy vs bad guy , naught boy vs romantic boy , pesa vs no pesa ni mambo ya nyongeza tu......... fedha haimtulizi mwanamke bali ugegedaji wako ukiwa wa kipekee kuelekea upande chanya ,ndiyo msingi mzima wa furaha na raha zote.Akaaaa babu weee, K bila matunzo si itafubaaaa! Shurti mgegedaji awe anairepea mara kwa mara!
try one minute guy for 1 year ,hlf ndiyo utanielewa what am talking about hapa.