Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,181
Hahaa hapo sawaMwanamke akiniambia fresh ila mwanaume dah!
Hahaa hapo sawaMwanamke akiniambia fresh ila mwanaume dah!
Umejoin JF 2019/03/22Wengi wenu mnao comment humu ndio walewale kasoro tarehe.
Mwanaume muda wa kukaa una chat chat kwenye simu unautoa wapi.
Mwanaume ukiona message kwenye simu yako unatakiwa umpigie simu aliye kutumia ili kuokoa muda.
unakuta mwanaume anataka achat na mwanaume mwenzake sasa sijui ili agundue nini.
Mwanaume kumtumia mwanaume mwanzako message mwisho tano tu tena hizo zina maelekezo mazito.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ukisikia kitu hata Kama kimekukera hakiwezi kubaki kichwani? Hakuna kitu sipendi Kama taarabu ila Kuna kipindi wakati Bado nipo home zilinikaa kichwani cause sister wangu alikuwa anaziweka kila wakati... Tunasikiliza taarabu tu the whole day, yaani hata redio ikizimwa still unasikia taarabu kichwani
Siku hizi hatumii kabisa emoj [emoji16][emoji16]Anamalizia na [emoji108][emoji108][emoji108]
Kuna mmoja humu alikuwa na hizi hulka sijui kakua siku hizi[emoji134][emoji134][emoji134]
Waapuuzi puuzi ndio wanalitumia Hata lisomi unakuta linasema koonje ya mada, kuna hili neno "ko" linatumika sana siku hizi. lina maana gani?
Kuna mwanaume tulikua tunaongea kwa simu akaniambia eti fulani leo nimemchambaaaaa,nilichofanya nikakata simu nikablock
Kwahiyo nadhani.. inafupishwa.nje ya mada, kuna hili neno "ko" linatumika sana siku hizi. lina maana gani?
Hivi hii kwio ni nini jamani?
Kuna mwanaume tulikua tunaongea kwa simu akaniambia eti fulani leo nimemchambaaaaa,nilichofanya nikakata simu nikablock
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona mimi umeniblock[emoji134][emoji134][emoji134]Mwanaume akiniita "my" huwa sijibu hiyo text
Mwanaume anayepost vijembe kwa status huwa nafuta namba kabisa ili nisizione maana mie sipendagi kublock mtoto wa mtu
😂😂😂Kuna mwanaume tulikua tunaongea kwa simu akaniambia eti fulani leo nimemchambaaaaa,nilichofanya nikakata simu nikablock
Waapuuzi puuzi ndio wanalitumia Hata lisomi unakuta linasema koo
It's Kwahiyo