Mwanaume akipost birthday is loading huwa namblock

Mwanaume akipost birthday is loading huwa namblock

Wengi wenu mnao comment humu ndio walewale kasoro tarehe.

Mwanaume muda wa kukaa una chat chat kwenye simu unautoa wapi.

Mwanaume ukiona message kwenye simu yako unatakiwa umpigie simu aliye kutumia ili kuokoa muda.

unakuta mwanaume anataka achat na mwanaume mwenzake sasa sijui ili agundue nini.

Mwanaume kumtumia mwanaume mwanzako message mwisho tano tu tena hizo zina maelekezo mazito.
Naunga mkono hoja..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom