Hakuna kitu kinachonichukiza kama hicho. Lianaume gani!...? Eti, pambe, k, unabadili r kuwa l, emoji za kike, x badala ya s. Wewe ni mpumbavu nini? Au shoga! Nguruwe wewe, takataka!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hua unaandika 'jomoni'?Inasikitisha wengi wanapenda kujifanya wanaume,Ila hawawezi kuuishi Uanaume..
Hatuwezi kuwa wanaume kwa sifa zisizo na tija za kuwa Mbabe,Jeuri,Mgumu ama wale wanaojiona nunda,Wasio na huruma ama wale wanaouona uhuni kama uanaume....(Sifa hzi haziwezi kuwa za mwanaume bali ni za wanaume Limbukeni!!!!!.)
Sent using Jamii Forums mobile app
📌Write your reply.
nimesoma komenti za juu nimeona jinsi wanawake wanavyoeleza kwa ufasaha jinsi wanavyotujua ngoja niwaongezee watufahamu vizuri
...mwanaume wa kweli ni sadistic ,women discriminator ,strictly, women abuser, polygamist in nature,stubborn, blunt, viwanafunzi and house girl manipulator, drugs abuser either alcohol or sigara ,chura lover,
Kuna mwanaume tulikua tunaongea kwa simu akaniambia eti fulani leo nimemchambaaaaa,nilichofanya nikakata simu nikablock
Kazi Yakufanyaje [emoji16][emoji16]looh! kazi ipo
Itakuwa kayatoa huko huko. Hao akina lavalava si ndiyo hao hao wapiga vigoma walioadvance.Mhh me sijui
Ila nahisi kama we ni muongo
Me hapo nimenukuu maneno ya wmbo wa Lava lava