Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,721
- 208,993
Haha huku haipo hata me raia wa huku siwasikii wakiongea vitu ka hizo "nimeyatoa instagram mieDuh huku kiumeni hiyo misamiati wala haitakaa ifike. Ndio nasikia leo
Haha huku haipo hata me raia wa huku siwasikii wakiongea vitu ka hizo "nimeyatoa instagram mieDuh huku kiumeni hiyo misamiati wala haitakaa ifike. Ndio nasikia leo
Mimi hata maana yake sijuiHilo neno la kwanza huwa nalichukia.
😉😉Love
Na Juma ndo zake, anapenda sana maneno ya hvyo.Hahaha mamba ya Juma Lokole hayo. Kale kanyimbo nilipendea alipo imba Meja Kunta yule mtota ana sauti
kwio akee ndio nini maana yake ndio mara ya kwanza nasikia hiki kituManeno kama
Kwio akeee
Jomoni
My
Mwanaume kutumia maneno kama hayo ni ujinga na upumbavu tena sio uanaume
Emoji kama hii [emoji85]
Nyingine mtaongeza wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maneno huwa nayasikia kwa wale malaya wanaocheza uchiuchi kwenye clubs za usiku.Maana yake hata sijui. Ila nenda youtube sikiliza nyimbo ya Lavalava na Meja kunta wameitaja sana humor
Maneno yake kdg "
unanitaka kwioo
Una hela kwioo
Sijui nenda ukalale kwioo
Kwio hiyo kwioo
Piga kelele kwa kwioo ake wewe
Inshort ni vitu ambavyo havieleweki
Mhh me sijuiHaya maneno huwa nayasikia kwa wale malaya wanaocheza uchiuchi kwenye clubs za usiku.
~I moved your cheese! So what?~
Hivi hii kwio ni nini jamani?Kwio akeee [emoji3][emoji3]
Lol
Jamani
Nk
Hivi ukisikia kitu hata Kama kimekukera hakiwezi kubaki kichwani? Hakuna kitu sipendi Kama taarabu ila Kuna kipindi wakati Bado nipo home zilinikaa kichwani cause sister wangu alikuwa anaziweka kila wakati... Tunasikiliza taarabu tu the whole day, yaani hata redio ikizimwa still unasikia taarabu kichwaniKawezaje kuandika ile mistari pale Kama hajakalili ??
Ongeza sauti mkuu ..tukusikie vizurkuna wengine hawapost birthday na ni mashoga tu uanaume hauwezi kuwa determined na mistari iyo ya tu ujinga ulitoandika
Sent using Jamii Forums mobile app
♥️Kweli kabisa kuna baadhi ya maneno/emoji akiandika mwanaume inaleta ukakasi kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Not fairKuna mwanaume tulikua tunaongea kwa simu akaniambia eti fulani leo nimemchambaaaaa,nilichofanya nikakata simu nikablock
aisee, je, angekuomba papuchi ungekubali ?Kuna mwanaume tulikua tunaongea kwa simu akaniambia eti fulani leo nimemchambaaaaa,nilichofanya nikakata simu nikablock
Kwio akeee [emoji3][emoji3]
Lol
Jamani
Nk
Mwanamke akiniambia fresh ila mwanaume dah!Ila mambo ukiwa unamwambia mamsap ni sawa, na sio mwanaume kwa mwanaume, si ndio?
Sent using Jamii Forums mobile app