Mwanamke wa kirangi

Mwanamke wa kirangi

Status
Not open for further replies.

mdada umepotea kweli
wanatushambulia na kabila letu
hebu watuachage tupumue maana
tunawanyima usingizi hahahaaaa!!
majukumu dadangu yalinizidi. Wamekosa la kufanya wanakuja kutushambulia humu...urembo wetu usiwe tabu..wakome..
 
ni kweli mmejaaliwa mpaka huruma ndo maana hamumkatai mwanaume yeyote anayewajaribisha hata kwa utani tu.

wewe labda hua unakutanaga na warangi
wa kimboka,hujakutana na wa geti wanaojua
thamani yao,fyuuuuuuuuuuu!!
 
Haloo si kabila la kuoa huo ndo ukweli hao wanawezana wenyewe!
SABABU
1. Hawatosheki hata umpe kucha kutwa atagawa tu! HAWAOMBWI HAO!
2. Majani ya chai ndo mpango mzima.
3. Utakosanishwa hadi na wazaz na ndg zako
4.UKIJENGA UKAWA NA KA GARI
anatamani UAGE DUNIA HARAKA ARITHI!
TENA ANAKUHARAKISHIA.
5.WABINAFSI na ROHO MBAYA!

miye NINA MZIO NA KABILA HILO!


duuu!!!!kazi kweli??!!
 
Haloo si kabila la kuoa huo ndo ukweli hao wanawezana wenyewe!
SABABU
1. Hawatosheki hata umpe kucha kutwa atagawa tu! HAWAOMBWI HAO!
2. Majani ya chai ndo mpango mzima.
3. Utakosanishwa hadi na wazaz na ndg zako
4.UKIJENGA UKAWA NA KA GARI
anatamani UAGE DUNIA HARAKA ARITHI!
TENA ANAKUHARAKISHIA.
5.WABINAFSI na ROHO MBAYA!

miye NINA MZIO NA KABILA HILO!

Hao wachagga mkuu tena #4 na 5 ni wale wamaChame kabisa.
 
Hivi hawa wanawake wa Kirangi tangu mmeanza kuwasema hapa bado tu hawajabadilika?
Mi nikiwasoma dismynder1 na Ye Soya naona kama wanawake wa Kirangi wako poa sana. Nina mpango wa kutembelea Kondoa hivi karibuni bila shaka nitajitahidi kufanya ka research kadogo!
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa wanawake wa Kirangi tangu mmeanza kuwasema hapa bado tu hawajabadilika?
Mi nikiwasoma dismynder1 na Ye Soya naona kama wanawake wa Kirangi wako poa sana. Nina mpango wa kutembelea Kondoa hivi karibuni bila shaka nitajitahidi kufanya ka research kadogo!
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa wanawake wa Kirangi tangu mmeanza kuwasema hapa bado tu hawajabadilika?
Mi nikiwasoma dismynder1 na Ye Soya naona kama wanawake wa Kirangi wako poa sana. Nina mpango wa kutembelea Kondoa hivi karibuni bila shaka nitajitahidi kufanya ka research kadogo!
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa wanawake wa Kirangi tangu mmeanza kuwasema hapa bado tu hawajabadilika?
Mi nikiwasoma dismynder1 na Ye Soya naona kama wanawake wa Kirangi wako poa sana. Nina mpango wa kutembelea Kondoa hivi karibuni bila shaka nitajitahidi kufanya ka research kadogo!
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli nikabira lenye warembo sana tu hata Asirimia 92% ya moyo wangu imewaelewa dizaini lakini tatizo nikwamba "HAWAJATULIA" hata umtoe bush ukimleta mjini tatizo linakuwa lilelile,ila niwachache sana waliotulia wengi wao nibaada ya kuachika kwa waumezao. "ilamibinafsi nawapenda ilembaya kwamaana ukitaka mwanamke wapekeyako labda ukakatemgomba uuweke ndani "Big up kwa warembo wa kirangi wote.
 
Hivi hawa wanawake wa Kirangi tangu mmeanza kuwasema hapa bado tu hawajabadilika?
Mi nikiwasoma dismynder1 na Ye Soya naona kama wanawake wa Kirangi wako poa sana. Nina mpango wa kutembelea Kondoa hivi karibuni bila shaka nitajitahidi kufanya ka research kadogo!
ukimaliza utafiti wako usikose kuja huku kutupatia majibu ya utafiti wako, usiwe kama jeshi letu la polisi linalofanya utafiti ila halitoi majibu...nshajua methodology utakayotumia though!
 
Hivi hawa wanawake wa Kirangi tangu mmeanza kuwasema hapa bado tu hawajabadilika?
Mi nikiwasoma dismynder1 na Ye Soya naona kama wanawake wa Kirangi wako poa sana. Nina mpango wa kutembelea Kondoa hivi karibuni bila shaka nitajitahidi kufanya ka research kadogo!

bora uende ukafanye research
ila ukiangukia kwa mashushu wa kondoa
mjini unalo nenda vijijini watoto wanapofundishwa
maadili mweeeeh!!
 
ukimaliza utafiti wako usikose kuja huku kutupatia majibu ya utafiti wako, usiwe kama jeshi letu la polisi linalofanya utafiti ila halitoi majibu...nshajua methodology utakayotumia though!

Duh Snipper mbona unanitisha. Kama umeshajua methodology ntakayotumia basi hata majibu ya kautafiti kangu umeshayajua though!
 
Last edited by a moderator:

bora uende ukafanye research
ila ukiangukia kwa mashushu wa kondoa
mjini unalo nenda vijijini watoto wanapofundishwa
maadili mweeeeh!!

Hahahahahaaaaaa dismynder1 nipe kampani basi ili nisije kupelekwa chaka na wajanja wa Kondoa town. Au twende wilaya mpya ya Chemba?!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaaaa dismynder1 nipe kampani basi ili nisije kupelekwa chaka na wajanja wa Kondoa town. Au twende wilaya mpya ya Chemba?!

hilo tu usijali kabisa
mi mwenyewe kwetu ni
kondoa mjini huko chemba napaskia
unipitie twende wote ili tukatembelee wilaya mpya!!
 
Ndugu zangu mwenzenu nampango wa kuoa ila napenda kujua tabia za mwanamke wa kirangi.naomba ushauli wenu

una sura kama mnyaki au mngoni

ila umeruka saana toka mbeya mpaka singida hao watu fani yao ni uhudumu wa bar..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom