Mwanamke wa kirangi

Mwanamke wa kirangi

Status
Not open for further replies.
yaani siku ikitokea nikaoa demu wa hilo kabila nakula kuanzia dada zake mpaka wadogo zake ili nithibitishe kama kuna ukweli kama huo kwamba ni chupi mkononi!
kuna jamaa mmoja anadai yeye alikula mdogo mtu na mkubwa mtu, alikuwa amemuoa mdogo, mkubwa alipokuja kuwatembelea akajaribisha na akala mzigo bila kikwazo!
 
kuna jamaa mmoja anadai yeye alikula mdogo mtu na mkubwa mtu, alikuwa amemuoa mdogo, mkubwa alipokuja kuwatembelea akajaribisha na akala mzigo bila kikwazo!
mh!!! hiyo kali...yaani mkubwa mtu na mdogo wote wanachangia mme?
 
ni wasafii sanaa wanasugua ndala zina ngaa kama zimetoka dukani,wanawapenda kabila lao na ningumu kuwanyima...yani anaweza kuja mtu ukaambiwa ako ukawauna ishinae kumbe ndo anakulia vyako ila ni wakarimu.
 
yaani siku ikitokea nikaoa demu wa hilo kabila nakula kuanzia dada zake mpaka wadogo zake ili nithibitishe kama kuna ukweli kama huo kwamba ni chupi mkononi!

uongo mkubwa tena mshindwe kuchafua
makabila ya watu kheeeee!!
 
ni wasafii sanaa wanasugua ndala zina ngaa kama zimetoka dukani,wanawapenda kabila lao na ningumu kuwanyima...yani anaweza kuja mtu ukaambiwa ako ukawauna ishinae kumbe ndo anakulia vyako ila ni wakarimu.

hatuwashindi nyie wapare
siku hizi mnashika namba 1!!
 
Cjawai kuona mrang anaoa au anaolewa na kabla lingne hao wanaoana wenyewe kwa wenyewe...ss ww unataka kuona mrang ww mrang? Wanawezana wenyewe kwa tabia zao
 
nasikia wana kamchezo ka kukeketwa,kuhusu kutoa uroda kwa marafiki jiandae kwa hilo mi nilishawahi kuwa na mpenzi mrangi dada yake naye akawa anataka mpomongo wangu but ckumpa hiyo nafasi so jipange sanaaaa.......!
 
Cjawai kuona mrang anaoa au anaolewa na kabla lingne hao wanaoana wenyewe kwa wenyewe...ss ww unataka kuona mrang ww mrang? Wanawezana wenyewe kwa tabia zao

Sio kweli dada angu hao ni Wapemba/Wahindi au labda hao uliowaona wewe tu.
 
nasikia wana kamchezo ka kukeketwa,kuhusu kutoa uroda kwa marafiki jiandae kwa hilo mi nilishawahi kuwa na mpenzi mrangi dada yake naye akawa anataka mpomongo wangu but ckumpa hiyo nafasi so jipange sanaaaa.......!
urembo wetu ndo unawafanya mtusakame, mbona wazaramo, wapare, wahaya, wamakonde ni chupi miguuni lakini hamuwaoni?
 
Cjawai kuona mrang anaoa au anaolewa na kabla lingne hao wanaoana wenyewe kwa wenyewe...ss ww unataka kuona mrang ww mrang? Wanawezana wenyewe kwa tabia zao
acha kupotosha watu, mbona mimi nimeolewa na kabila lingine na tunaendelea na maisha vizuri tu? Za kuambiwa changanya na za kwako!
 
Cjawai kuona mrang anaoa au anaolewa na kabla lingne hao wanaoana wenyewe kwa wenyewe...ss ww unataka kuona mrang ww mrang? Wanawezana wenyewe kwa tabia zao

Hahah kumbe unawajua,,wanapenda sana kulana wenyewe kwa wenyewe.
 
Cjawai kuona mrang anaoa au anaolewa na kabla lingne hao wanaoana wenyewe kwa wenyewe...ss ww unataka kuona mrang ww mrang? Wanawezana wenyewe kwa tabia zao

weeeeee ishia hapo2
mi baba angu mrangi alioa mama mchaga
mimi nimeolewa na mpare,kaka zangu wameoa makabila mengine
urongooooooooo!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom