hiyo sifa wala hatunaga
usafi kwetu tumejaliwa
mvuto usipime,rangi ya kuita
viuno feni cha mtt,vingine ni tabia ya mtu
wala si kabila!!tumefundwa tukafundika alaaaa!!
ni kweli usemayo,ila miguu mironjo nayo inawaangusha fanyeni mazoezi mpate walau miguu ya kuvalia sketi kama si pensi.