Mwanamke wa kirangi

Mwanamke wa kirangi

Status
Not open for further replies.

hiyo sifa wala hatunaga
usafi kwetu tumejaliwa
mvuto usipime,rangi ya kuita
viuno feni cha mtt,vingine ni tabia ya mtu
wala si kabila!!tumefundwa tukafundika alaaaa!!

ni kweli usemayo,ila miguu mironjo nayo inawaangusha fanyeni mazoezi mpate walau miguu ya kuvalia sketi kama si pensi.
 
Mi baba yangu alitaka kuuliwa na mwanamke wa kimachame kisa gari na nyumba! so inshu ya kuua kwa wa rangi kisa nyumba naipinga kwa nguvu zote! kwanza warangi ni wapole na wanahuruma!

nashanga tunapakaziwa khaaa!!
watuache tuolewe atii!!
 
ni kweli usemayo,ila miguu mironjo nayo inawaangusha fanyeni mazoezi mpate walau miguu ya kuvalia sketi kama si pensi.

kwani mtu akitafuta mchumba hua anaangalia miguu
reception na figure ndio vinapewa kipaumbele
miguu majaliwa tu si lazima, na kwa rangi yetu
ya mvuto vimini tunavaa bila shida na bado tunavutia hahaaa!!
 

kwani mtu akitafuta mchumba hua anaangalia miguu
reception na figure ndio vinapewa kipaumbele
miguu majaliwa tu si lazima, na kwa rangi yetu
ya mvuto vimini tunavaa bila shida na bado tunavutia hahaaa!!
nilitaka kumshauri jamaa yangu ampige chini demu wake wa kirangi ila kwa utetezi wako nimeidhika na nona hina haja kumpelekea huo ushauri labda mpaka yatakapomkuta shingoni maji!
 
nilitaka kumshauri jamaa yangu ampige chini demu wake wa kirangi ila kwa utetezi wako nimeidhika na nona hina haja kumpelekea huo ushauri labda mpaka yatakapomkuta shingoni maji!

umalaya ni tabia ya mtu
na sio kabila to be honest
binadamu tunakosea pale tunapokosoa
wengine kisa makabila yao!!
 

tunawalimbwata kwa mauno
na makea kibao,rangi, figure zinawachanganya
tunadumu sana kwny ndoa zetu na hatupo kama mnavyojaji
kuhusu umalaya hakuna kabila lisilopenda uchi so ni malezi na makuzi
ya mtu,na tabia ya mtu pia!!umalaya ni tabia ya mtu c kabila!!

...Hakka kwa ufndi wa uwanjan yaan hayo mauno na kachumbar wa hamuwez kve sema wa2 uwa 2nafkria kwa dhana ambayo haipo ksha 2nawakmbia. Lakn hao wake na shemeji zang hawapo nyma kwa k2hdmia kama kawa hawa ni jamvi la wageni. Endelee k2hdmia jamani.
 
...Hakka kwa ufndi wa uwanjan yaan hayo mauno na kachumbar wa hamuwez kve sema wa2 uwa 2nafkria kwa dhana ambayo haipo ksha 2nawakmbia. Lakn hao wake na shemeji zang hawapo nyma kwa k2hdmia kama kawa hawa ni jamvi la wageni. Endelee k2hdmia jamani.

kuna sehemu sijaelewa
sijui ni kiswahili mixer kivietnam o?
 
Usisahau maandalizi wakija kusalimia wanakuja kumi na zaidi na kuondoka mpaka ufukuze, akienda likizo ya uzazi anamwacha mdogo wake wake ili usicheze mbali. kazi kwako mkuu
hamna tatizo, akija atapokelewa na MISS CDM pamoja na Double K. mia
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom