ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Ndugu zangu mwenzenu nampango wa kuoa ila napenda kujua tabia za mwanamke wa kirangi.naomba ushauli wenu
Kwa msaada wa kumpata huyu bwana nitakudanganya. Ila nakushauri uanzishe thread mpya yenye kichwa cha habari "Namtafuta Bw. Mwigulu Nchemba,ili anisaidie ushauri jinsi ya kupata MKE wa Kirangi". Kila la kheri mkuu.samahan sana vp nitampataje huyo ndugu naomba msada wako
hapo mkuu ndo napenda kujua kwanin umesema hivyo naomba nieleweshe zaidi
Kwa msaada wa kumpata huyu bwana nitakudanganya. Ila nakushauri uanzishe thread mpya yenye kichwa cha habari "Namtafuta Bw. Mwigulu Nchemba,ili anisaidie ushauri jinsi ya kupata MKE wa Kirangi". Kila la kheri mkuu.
Hahahahahaha!Kwa msaada wa kumpata huyu bwana nitakudanganya. Ila nakushauri uanzishe thread mpya yenye kichwa cha habari "Namtafuta Bw. Mwigulu Nchemba,ili anisaidie ushauri jinsi ya kupata MKE wa Kirangi". Kila la kheri mkuu.
Siamini! Nilikataliwa na binti wa kirangi lakeni nikapata binti wa ki..... Kama nanawa vile!
aicee 90% wanapenda limbwata ndani ya ndoa af kwa historia yangu demu wa kirangi hajawahi kunikataa,kuna mwingine alinikubalia nakuja home namueleza bro ananiambia yle ni demu wake na ushahidi kibao, anyway maybe wako yuko kune 10%
Kwa msaada wa kumpata huyu bwana nitakudanganya. Ila nakushauri uanzishe thread mpya yenye kichwa cha habari "Namtafuta Bw. Mwigulu Nchemba,ili anisaidie ushauri jinsi ya kupata MKE wa Kirangi". Kila la kheri mkuu.
Kama wewe sio Mrangi achana naye kabisa, utakufa siku si zako!!
kwa kukufahamisha warangi ni waadilifu ni wabantu hawa, hila kuna kabila la waasi hawa ndio laini sana kama wambulu hawa ni nailitiki lakini ujiita warangi .chunguza utaona hilo
Ndugu zangu mwenzenu nampango wa kuoa ila napenda kujua tabia za mwanamke wa kirangi.naomba ushauli wenu
Kwa msaada wa kumpata huyu bwana nitakudanganya. Ila nakushauri uanzishe thread mpya yenye kichwa cha habari "Namtafuta Bw. Mwigulu Nchemba,ili anisaidie ushauri jinsi ya kupata MKE wa Kirangi". Kila la kheri mkuu.
Haahaa...nashukuru Nambe. Borat from Uzhbekistan. Nitaweka Avatar soon.hahahaa Borat..
mependa tu jina lako, weka bac na avatar yA BORAT............ LOL..