Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,631
- 1,657
ni kweli ila nyie kuhusu hilo mmebobea kwa kweli...mnaweza mkagawa kwa vijana wa nyumba nzima bila wenyewe kujigundua mpaka pale mtakapokuwa mmenasa mimba ndio msala unakuwa mzito maana vijana wale kila mmoja ataanza kujisifu kuwa mimba ni yake kumbe hata huenda kati yao hakuna muhusika...muhusika ni mangi wa gengeni.....big up!Kudowea nje na mwenzio asijue ni akili ya mtu wala sio kabila.
Na mtasema sana sie bado tupogo.
Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu . . .