Mwanamke wa kirangi

Mwanamke wa kirangi

Status
Not open for further replies.
Duh Snipper mbona unanitisha. Kama umeshajua methodology ntakayotumia basi hata majibu ya kautafiti kangu umeshayajua though!
Mkuu Mwita Maranya, huna haja ya kwenda kondoa kufanya utafiti, we mwenyewe umeona dismynder1 alivyorahisi, yaani ukiwa na castle za kopo tu unabeba mzigo kwa ajili ya kiburudisho wakati wa safari, sasa hapo kuna haja ya kwenda tena kujaza questionares kondoa? Mnaweza mkaamua kutumia siku 3 njiani ili mkamilishe utafiti vizuri ingawa safari yenyewe unaweza kwenda kwa cku moja tu. Walaini mno hawa warembo wetu wa kirangi! Jooli dismynder1!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya, huna haja ya kwenda kondoa kufanya utafiti, we mwenyewe umeona dismynder1 alivyorahisi, yaani ukiwa na castle za kopo tu unabeba mzigo kwa ajili ya kiburudisho wakati wa safari, sasa hapo kuna haja ya kwenda tena kujaza questionares kondoa? Mnaweza mkaamua kutumia siku 3 njiani ili mkamilishe utafiti vizuri ingawa safari yenyewe unaweza kwenda kwa cku moja tu. Walaini mno hawa warembo wetu wa kirangi! Jooli dismynder1!
Snipper mbona tena umeamua kumkosea adabu rafiki yangu dismynder1? au unaona wivu mimi nikipata kampani yake? Potelea pote najua disyminder1 hatomaindi vijineno vyako.
 
Last edited by a moderator:
Snipper mbona tena umeamua kumkosea adabu rafiki yangu dismynder1? au unaona wivu mimi nikipata kampani yake? Potelea pote najua disyminder1 hatomaindi vijineno vyako.
mi sijamkosea adabu ila nimeongea ukweli tu, ila kama unavyojua kawivu hakawezi kukosa hasa unapoona mwenzako ameuliza kidogo tu na kukubaliwa bila hata kutumia nguvu kubwa ya ushawishi...castle za kopo tu kwisha habari yake..chezea warangi wewe?
 
Last edited by a moderator:

mmbichwa ule ka boga la kiangazi
Mwita Maranya shemeji yangu kwa taarifa yako
tena ushindwe,naona safari yetu inakuwasha unataka uunge tela!!
 
Last edited by a moderator:

mmbichwa ule ka boga la kiangazi
Mwita Maranya shemeji yangu kwa taarifa yako
tena ushindwe,naona safari yetu inakuwasha unataka uunge tela!!
aaah,
Sina hata mpango na hyo safari maana najua nikiwataka warangi nakamatia hapahapa kwa castle baridi tu mbili tatu...ila Mwita Maranya utafaidi kwa kweli..uzuri ni kuwa hata kama ni shemeji hakunaga kizuizi..by the way, dismynder1 huna mdogo wako na mimi nikapanga nae safari? Kama yupo nipigie pande mwayaa!
 
Last edited by a moderator:
aaah,
Sina hata mpango na hyo safari maana najua nikiwataka warangi nakamatia hapahapa kwa castle baridi tu mbili tatu...ila Mwita Maranya utafaidi kwa kweli..uzuri ni kuwa hata kama ni shemeji hakunaga kizuizi..

atafaidi kusafiri na shemeji yake au? nyoooooooh!! Mwita Maranya
cam zis way twen zetu bana!!

 
Last edited by a moderator:
aaah,
Sina hata mpango na hyo safari maana najua nikiwataka warangi nakamatia hapahapa kwa castle baridi tu mbili tatu...ila Mwita Maranya utafaidi kwa kweli..uzuri ni kuwa hata kama ni shemeji hakunaga kizuizi..by the way, dismynder1 huna mdogo wako na mimi nikapanga nae safari? Kama yupo nipigie pande mwayaa!

sina mdogo mie
nimezaliwa peke yangu
nimelelewa kama yai usipime!!
toto la kirangi mixer na kibosho gusa unase, lione vile!!
 

mmbichwa ule ka boga la kiangazi
Mwita Maranya shemeji yangu kwa taarifa yako
tena ushindwe,naona safari yetu inakuwasha unataka uunge tela!!

Punguza jazba shemeji yangu dismynder1 anachofanya Snipper ni maneno ya mkosaji tu. Yeye anajifanya kuwajua warangi halafu hapo hapo anaomba msaada kwako!!!
 
Last edited by a moderator:
Punguza jazba shemeji yangu dismynder1 anachofanya Snipper ni maneno ya mkosaji tu. Yeye anajifanya kuwajua warangi halafu hapo hapo anaomba msaada kwako!!!
umeona eeh! Naomba basi ukikaa nae ujarib kumshawish kama ana mdogo wake na mimi angalau anipe kampan kwenda huko kufanya karesearch kangu
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom