Snipper
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,336
- 2,173
Mh! Umesemaje vile? Awaolee?Oa utuolee
Mh! Umesemaje vile? Awaolee?Oa utuolee
Mamndenyi, huyo Mr Rocky aliwai kuolea huko mpaka awajue? au yalishawahi kumkuta ya kumkuta kutokana na hao madada akina dismynder1 na Ye Soya?
Mamndenyi, huyo Mr Rocky aliwai kuolea huko mpaka awajue? au yalishawahi kumkuta ya kumkuta kutokana na hao madada akina dismynder1 na Ye Soya?
Muulize Mr Rocky anawajua.
Mamndenyi, huyo Mr Rocky aliwai kuolea huko mpaka awajue? au yalishawahi kumkuta ya kumkuta kutokana na hao madada akina dismynder1 na Ye Soya?
Muulize atakuambia. anawajua.
eti Mr Rocky, nimeambiwa nikuulize kuhusu hawa wadada wa kondoa, nipe zao kwa manufaa ya jamvi!
haya bado tu watusakama
dismynder1 nimekuja kivingine!!
huyo Mr Rocky kafikaje huku aisee!!
:Cry::Cry::Cry::tape::tape::tape::tape::behindsofa: ngoja kwanza natafakari haya yote na nitarudi baadaehuyo ndio mtu wa miraba minne kila mahali utamkuta..
usichelewe lakini...una taarifa mingi tunadhan...yaani wewe ni resource!:Cry::Cry::Cry::tape::tape::tape::tape::behindsofa: ngoja kwanza natafakari haya yote na nitarudi baadae
Mkuu Snipper sijui hawa watu wana agenda gani na mimi aise maana hizo taarifa za kuwa najua tabia za hao watu sijui wamezitoa wapi wakati sijui kama nishawahi kuwa na story kama hiyo humu ndo maana nimeshangazwa na hilousichelewe lakini...una taarifa mingi tunadhan...yaani wewe ni resource!
hii inaonesha ni kwa jinsi gani watu wanavyokuamini...wanajua wewe ni multi-knowledgeable!Mkuu Snipper sijui hawa watu wana agenda gani na mimi aise maana hizo taarifa za kuwa najua tabia za hao watu sijui wamezitoa wapi wakati sijui kama nishawahi kuwa na story kama hiyo humu ndo maana nimeshangazwa na hilo
hii inaonesha ni kwa jinsi gani watu wanavyokuamini...wanajua wewe ni multi-knowledgeable!
​hahahaaaa!!binamu unalo hilo!!:Cry::Cry::Cry::tape::tape::tape::tape::behindsofa: ngoja kwanza natafakari haya yote na nitarudi baadae
huyo ndio mtu wa miraba minne kila mahali utamkuta..
Passion Lady nashangaa nimeuziwa mbuzi kwenye gunia aise mi na ukabila wapi na wapi na wamesisitiza hao ndo maana najificha kwenye kochi nisikilizie stevoh kuna mrangi anamtafuta ndo maana anatafuta data
hata mi nakubali mmefundwa hasa katika lile suala la kuweza kutoka nje na mwenzio asitambue....
wacha weee!! stevoh anataka
kua shemeji,mwambie akaribie watoto tumefundwa
tukafundika acha kabisa!!
samahan sana vp nitampataje huyo ndugu naomba msada wako
hata mi nakubali mmefundwa hasa katika lile suala la kuweza kutoka nje na mwenzio asitambue....
hata mi nakubali mmefundwa hasa katika lile suala la kuweza kutoka nje na mwenzio asitambue....