stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 529
Hapana mkuu ni katika harakati za kuukataa huu ubahili unaoninyemeleaIli uniombe nyuchi, akuuuu sitaki.
Hapana mkuu ni katika harakati za kuukataa huu ubahili unaoninyemeleaIli uniombe nyuchi, akuuuu sitaki.
mimi wala nisingekuja kuuliza hapa,ningepiga chini tu........ila mtoa mada kaja kuomba ushauri na kwa mawazo yangu mimi mwanamke anaejielewa hawezi kuanza kupiga mizinga hovyo.
Kwa mtazamo mwingine, huoni kwamba labda anataka kuona ujasiri wa jamaa?
Salam wadau!
Mimi ni kijana wa miaka 27. Kuna mdada nimemtongoza na katika majadiliano naye akadai tupeane mda wa kuchunguzana ndipo tufikie maamuzi. Lakini cha ajabu ndani ya siku mbili tangu nimemtongoza, ameanza kuniomba pesa kwa wingi. Nami najiuliza, kwa hali hiyo ya kuniombaomba pesa mara kwa mara ananichuna au anahitaji pesa zangu??
Nahitaji msaada Wakuu maana sielewi hata nifanyeje mpaka mda huu.
Hizi kesi zimekuwa nyingi sana. Kuna wenzio kibao humu utawaona tu. Undeni umoja wenu wa wapigwa mizinga/vibomu halafu mjue mtasonga vipi kwa pamoja.
mimi wala nisingekuja kuuliza hapa,ningepiga chini tu........ila mtoa mada kaja kuomba ushauri na kwa mawazo yangu mimi mwanamke anaejielewa hawezi kuanza kupiga mizinga hovyo.
Kujiliza liza sasa....
Hapana mkuu ni katika harakati za kuukataa huu ubahili unaoninyemelea
Dogo..hakuna kutoa pesa kwa hawa viumbe. Nasema usimpe hata coin moja. Unatoa ili iweje, umekuwa mzazi wake! Kama vipi akupe utamu kwanza ndio ufikirie kutoa..