chifusongea
Senior Member
- Jan 8, 2016
- 164
- 154
Labda tukuulize wewe anafaaa kuolewa?
Salam wadau!
Mimi ni kijana wa miaka 27. Kuna mdada nimemtongoza na katika majadiliano naye akadai tupeane mda wa kuchunguzana ndipo tufikie maamuzi. Lakini cha ajabu ndani ya siku mbili tangu nimemtongoza, ameanza kuniomba pesa kwa wingi. Nami najiuliza, kwa hali hiyo ya kuniombaomba pesa mara kwa mara ananichuna au anahitaji pesa zangu??
Nahitaji msaada Wakuu maana sielewi hata nifanyeje mpaka mda huu.
Wanataka wapewe wao.....hivi wanaume wa siku hizi mmekuaje....?.....kwa nini hamtaki kutoa hela......?.........ua bila kumwagiliwa mnadhani litapendezaje......?......
Salam wadau!
Mimi ni kijana wa miaka 27. Kuna mdada nimemtongoza na katika majadiliano naye akadai tupeane mda wa kuchunguzana ndipo tufikie maamuzi. Lakini cha ajabu ndani ya siku mbili tangu nimemtongoza, ameanza kuniomba pesa kwa wingi. Nami najiuliza, kwa hali hiyo ya kuniombaomba pesa mara kwa mara ananichuna au anahitaji pesa zangu??
Nahitaji msaada Wakuu maana sielewi hata nifanyeje mpaka mda huu.
Mie nashindwa hata kuwashangaa kwakweli!! Huu ubahiri gani sasa na kukalamika tuuuu kama gari bovu, mwanamke gharama jamani hebu toeni tu msisubiri hadi tuwaombe, khaaaaaah!!
Gharama gani wakati wote tunapata raha? kama ni rahisi wanaume kuwa tunatoa pesa muda wote ni vizuri pia wawe wanawapa wanaume kwa kuwastarehesha pia!
nawe muombe nyuchi tit for tat
Umeongea ukweliiiiNa we muombe papuchi mara kwa mara
Ndio maana ukaitwa mwanaume nae mwanamke, haki inatakiwa iwe sawa ila majukumu kamweee hayawezi kuwa sawa, we umesahau kuwa kila kiungo cha mwanamke kina gharama? Basi usione taabu kuhudumia, km hutaki mwambie muhusika hautaki sio kutujazia saver na kelele zisizo na miguu wala kichwa.
Alafu hushikiwi bunduki kutoa, km hutaki tell her, wenzio wanatoa tu,so we baki na vilio vyako.