Mwanamke wa dizaini hii anafaa kuolewa?

Mwanamke wa dizaini hii anafaa kuolewa?

Dogo..hakuna kutoa pesa kwa hawa viumbe. Nasema usimpe hata coin moja. Unatoa ili iweje, umekuwa mzazi wake! Kama vipi akupe utamu kwanza ndio ufikirie kutoa..

Haahaaaaa...... Hii ni hatari aiseee, asante Mkuu!
 
Aaaah bwana sweet darling ex ndio mambo gani hayo?? Acha kutuharibia bwana, hiyo ndio kazi ya pesa ya mwanaume, unamfundisha ule ubahiri wako ulokufanya hadi leo hata baiskeli huna kisa utawatajirisha wauza baiskeli!! Acha uchoyo bwana.

Teh...ex darling..miss you lakini hapa lazima niwafundishe wadogo zangu. Kuhonga mtu asiye mkeo ni kuwekeza kwenye hewa. Mimi nature yangu ni ubahili..nashukuru
Mungu kwa hilo..teh teh
 
Teh...ex darling..miss you lakini hapa lazima niwafundishe wadogo zangu. Kuhonga mtu asiye mkeo ni kuwekeza kwenye hewa. Mimi nature yangu ni ubahili..nashukuru
Mungu kwa hilo..teh teh

Bahiri hapendezi bwana, usiwaponze hawa wavulana, waache watupe hizo fweza bwana, ulipotelea wapi?
 
Sasa hapo wataka usaidiwe nini wakati kila kitu kiko wazi!! Jipime mwenyewe kama unaweza aina hiyo ya mapenzi endelea nae. La huwezi tafuta unaeendana nae.
 
Ingawa kwa uzoefu wangu mwanamke wa namna hiyo anakuwa hakupendi. Na badala yake anataka kukutumia ili kutatua matatizo yake tuu. Anaweza kukupa mwili wake ila mapenzi moyoni yasiwepo hivyo siku akitokea mwenye hela kukuzidi ujue huna mpenzi. Au mwaweza kupangwa foleni. Hivyo ndugu yangu uamuzi ni wako. Akili ya kuambiwa changanya na yako.
 
Usimjaj mapema kwa kutumia kigezo kimoja we MPE tu though sio kila akikuomba siku nyingne mwambie uko majalala uone reaction yake hiyo reaction ndo itakuonyesha the real true colour of her.cos am sure atakuwa na vigezo vingne vilivyokuvutia had ukamfata .gd luck
 
Halaf wanawake tujifunze kuwa independent jaman huku kuombaomba hela kunawafanya Baadhi ya wanawake waonekane cheap au kama unataka kuomba sasa si uvumilie hata kidogo????tubadilike jaman
 
Hivi kwa dunia ya sasa kuna mwanamke ambae haombi pesa?
 
Bahiri hapendezi bwana, usiwaponze hawa wavulana, waache watupe hizo fweza bwana, ulipotelea wapi?

Nilifichwa na kidumu changu. We si ulinitosa bwana. Btw, mpe hi kipenzi changu everlenk.
 
Last edited by a moderator:
Nilifichwa na kidumu changu. We si ulinitosa bwana. Btw, mpe hi kipenzi changu everlenk.

Hivi kumbe mimi ndio nilikutosa eeeh!! Huyo sijui kafichwa na nani!! Naye kapotea hatari.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kumbe mimi ndio nilikutosa eeeh!! Huyo sijui kafichwa na nani!! Naye kapotea hatari.

Ukimuona huko mtaani mwambie nimeosha mwiko tayari kwa chakula cha usiku na amka na BBC.
 
Anachunguza mfuko kwanza kuwa na subira atakuja kuchunguza na moyo ndipo akubali,usiwe na haraka anafanya uchunguzi wake hatua kwa hatua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom