Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,478
- 176,499
Kama hakuna tafiti huna haki ya kusema, ni wapi imeandikwa kila kiungo cha mwanamke kina gharama? ina maana wanaume hawana viungo! wana nini basi chao? toa ushahidi wa kauli yako!
Kila kiungo cha mwanamke kina gharama, according to my research sijakurupuka, hivyo ni gharama zipi zinatofautiana kutoka kwa mmoja na mwingine sasa wewe kama unabisha sema why unabisha!!
Yaani sielewi hata nini unabisha na kukitaka ndugu, basi kama hutaki majukumu yako kama mwanaume chagua moja tu, olewa nawe uhudumiwe fullstop.