Mwanamke wa dizaini hii anafaa kuolewa?

Mwanamke wa dizaini hii anafaa kuolewa?

EmmyGuy nini hasa lengo ni eat and run or eat and stay.sijakuelawa ati
 
huyo sio mpenzi wake ni mwanamke kamtongoza tu, je mnaunga mkono ukitongozwa tu uanze kupiga mizinga??

Shida iko wapi? Lengo la kumtongoza ni nini?? Atoe tu.
 
Kwakweli inabidi waunde umoja maana wametuchosha kila siku lawama hizi hizi, wanaume na nyie mmezidi ubahiri khaaaah!! Kwani mkitoa mnakufa?

Wanataka wapewe wao.....hivi wanaume wa siku hizi mmekuaje....?.....kwa nini hamtaki kutoa hela......?.........ua bila kumwagiliwa mnadhani litapendezaje......?......

Mie nashindwa hata kuwashangaa kwakweli!! Huu ubahiri gani sasa na kukalamika tuuuu kama gari bovu, mwanamke gharama jamani hebu toeni tu msisubiri hadi tuwaombe, khaaaaaah!!

Shida iko wapi? Lengo la kumtongoza ni nini?? Atoe tu.

kwahio wewe kuombaomba huoni shida?
 
Sio kuomba omba, bali kuomba, shida iko wapi wakati unauhitaji?? Mbona nyie hamuonagi shida kutuomba omba?

uhitaji gani unatongozwa leo hata hamjakubaliana ushaanza mizinga?? dont get it twisted....mada ya hapa sio kumuomba mpenzi wako, hilo linakubalika, anacholalamika mtoa mada ni wewe kutongozwa tu ushaanza mizinga hata ahakijaeleweka ushaanza kutangaza njaa!!
 
uhitaji gani unatongozwa leo hata hamjakubaliana ushaanza mizinga?? dont get it twisted....mada ya hapa sio kumuomba mpenzi wako, hilo linakubalika, anacholalamika mtoa mada ni wewe kutongozwa tu ushaanza mizinga hata ahakijaeleweka ushaanza kutangaza njaa!!

Kwani kakulazimisha? Kama huwezi kucheleza muziki wake kwa nini usiwaachie wanaouweza?
 
uhitaji gani unatongozwa leo hata hamjakubaliana ushaanza mizinga?? dont get it twisted....mada ya hapa sio kumuomba mpenzi wako, hilo linakubalika, anacholalamika mtoa mada ni wewe kutongozwa tu ushaanza mizinga hata ahakijaeleweka ushaanza kutangaza njaa!!

Amemuomba mpenzi wake mtarajiwa kwakuwa ana uhitaji, shida iko wapi? Kwani kuna time line ya kuomba?? Uhitaji hausubiri ujue? Na hapo ndio unapima how genorous he is na mtaishi vipi, toeni pesa bwana weee acha porojo porojo.
 
Kwani kakulazimisha? Kama huwezi kucheleza muziki wake kwa nini usiwaachie wanaouweza?

mimi wala nisingekuja kuuliza hapa,ningepiga chini tu........ila mtoa mada kaja kuomba ushauri na kwa mawazo yangu mimi mwanamke anaejielewa hawezi kuanza kupiga mizinga hovyo.
 
take risk mkuu muulize mbona anakuomba omba pesa afu uwe umevaa sura ngum… majibu utakayopewa ndo yatakupa jibu if anafaa kuolewa au lah,,

Asantee Mkuu kwa ushauri wako.
 
mimi wala nisingekuja kuuliza hapa,ningepiga chini tu........ila mtoa mada kaja kuomba ushauri na kwa mawazo yangu mimi mwanamke anaejielewa hawezi kuanza kupiga mizinga hovyo.

Ushauri wako ni mzuri sana Mkuu, asante!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom