Mwanamke wa dizaini hii anafaa kuolewa?

Mwanamke wa dizaini hii anafaa kuolewa?

Mlikubaliana mchunguzane keshaanza kukuchunguza kama unajimudu unatakiwa umuonyeshe kuwa unajimudu mpe hela tu.
 
Salam wadau!

Mimi ni kijana wa miaka 27. Kuna mdada nimemtongoza na katika majadiliano naye akadai tupeane mda wa kuchunguzana ndipo tufikie maamuzi. Lakini cha ajabu ndani ya siku mbili tangu nimemtongoza, ameanza kuniomba pesa kwa wingi. Nami najiuliza, kwa hali hiyo ya kuniombaomba pesa mara kwa mara ananichuna au anahitaji pesa zangu??
Nahitaji msaada Wakuu maana sielewi hata nifanyeje mpaka mda huu.
Mnyime tu sianakuchunguza?
 
Huyo atakulia hela zako na atakula kona, ndio style zao siku hiz
 
Salam wadau!

Mimi ni kijana wa miaka 27. Kuna mdada nimemtongoza na katika majadiliano naye akadai tupeane mda wa kuchunguzana ndipo tufikie maamuzi. Lakini cha ajabu ndani ya siku mbili tangu nimemtongoza, ameanza kuniomba pesa kwa wingi. Nami najiuliza, kwa hali hiyo ya kuniombaomba pesa mara kwa mara ananichuna au anahitaji pesa zangu??
Nahitaji msaada Wakuu maana sielewi hata nifanyeje mpaka mda huu.
hiyo ni big G mkuu, tafuna ikiisha utamu tema
 
ebana nimejibu jibu ambalo hukustahili kujibiwa, ila jibu langu serious huyo mwanamke sio wa kuoa mkuu, mwanamke kama huyo anaweza kuuza utu wake kwa ajili ya hela, labda mwanamke akiwa na shida serious akiomba hela labda hapo mtu unaweza ona aibu kushindwa kutoa, lakini huyo wa siku mbili huyo hafai, na uwezo wake wa kufikiri pia utakua mdogo kumgeuza mwanaume uliyekutana nae jana kitega uchumi, niamini mkuu wanawake wazuri wapo na utapata wife mzuri mtafutaji achana na kejeli za hapa
 
@reaj G Nashukuru kwa ushauri mzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom