Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
mabachelor changamkieni dili hilo
kumbe iko kibiashara zaidi!!
mabachelor changamkieni dili hilo
Good to see you too dearest....Radhia hajakosea kabisa kuweka hii thread. Huoni tuko hapa,mi nina raha kama nini? jivunie ulicho nacho ila tu usikitumie kukwaza wenzio...!
Michelle you are one beautiful lady I hope you know that.... (ila huna haja ya kufungua thread)..
Hallow...
Migombani ili tukichoka tule ndizi...
Migombani ili tukichoka tule ndizi...
Which one? coz am engaged to him...or you meant your cousin?? lol
RADHIA SWEETY MTEGO WAKO UMESHANASA 'SAMAKI' (wa/MHUSIKA) uliyetaka jamii ya jf wamjue. Waombe mods wafunge huu mjadala, kesho anzisha uzi mwingine unase samaki wengine
Now you are getting too far my sister! It was all enough (for you) to appreciate my beauty........
Wifi nimepona uzuri niutoe wapi? Huoni naficha sura na ushungi?
huwa mnakutana wapi na hivho vifidodido mpaka mnapondana jamani? mi najua jf wote tambarare tu!Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
Dah!!!
Chezea ID mpya wewe!!!
watu wanakuja wamejipanga kabisaa.......wanakuja kuleta ujumbe halafu haooooo......wanaondoka zao,
wanawaacha mnapigana vikumbo...
like that!!!
Wapi GX mia bana............kama sura zingekuwa na model kama magari, kuna watu wangesema wao ni future model ya Nissan 2013, wakati ni mandolini 109.
Orait, tunaendelea kuangalia mchapano........
hey...........nitakutafuta FL1....da Bigirita hii ni useful post haroo nitafute nikupe mzinga wa konyaji:A S-coffee:
Nikupe siri FL1? Shem alichaguiwa uraisi sababu ya Uzuri wako wewe... lol... Voters walikua hawana jinsi..
Leo twapata nini mchana? Njaa...:yawn:
kamata kahawa usije ukasinzia.....Unasoda jirani?
Nimebakiza pop corn tu
Afu movie bado inaendelea
Nisije nikaboreka bure
ADII,
This is what we mean by being appreciative.Keep it up!!
Hapo kwenye bold mwenye macho haambiwi tazama, wala mwenye masikio haambiwi sikia.
Kila mwanadamu ni kiumbe mzuri.Kwa maana hiyo basi Mwanamke yeyote ni mzuri.
Hamna mwenye haki ya kumponda mwingine kwamba siyo mzuri japo kila mtu anayo haki kujisifia kwamba ni mzuri.
Mwisho wa siku uzuri wa mtu ni maono wa muonaji.
Wachangiaji take it easy on the thread starter....don't be too hard on her its just a feeling on her part that she needs some attention to make her feel good.
Radhia uko mzuri sana dada.Na wanasemaga jifagilie mwenyewe usingoje kusifia maana unaweza subiri sana.
awezeshwe nini tena zaidi..kwenda saloon?Yeah::: Mwanamke AKIWEZESHWA ANAWEZA!
![]()
Oh' I am Back from far.... now here with you kabisa Radhia. Can we basi be friends? I would Love a Lady friend mzuri anajua kua ni mzuri alafu anajitambua....
hey...........nitakutafuta FL1....
Tuendelee kuangalia mnyukano..