Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Status
Not open for further replies.
I know.... I know.... Love bana haifichiki bana... I can see it mkiwa pamoja.....lol... Radhia usiwe na wasi kanitolea nje hadi Urafiki!


Itabidi nianze kupanga strategies.... She has to be one of my Wifi!

Tukimpata huyu katika mawifi basi maisha yatakuwa safi sana, coz,una mawifi wa kila aina na utofauti wao ndo unafanya maisha interesting na yenye msisimko...lol:juggle:
 
He! Nilipoiona hii thread asubuhi nilioona kuwa ni very innocent... sikujua kuwa itafika huku... kweli watu wameguswa
 
Mungu wangu yan leo nimefurahi kweli. kweli wanawake mnamambo.
niko kwenye dala dala nacheka mpaka watu wananishangaa.
 
He! Nilipoiona hii thread asubuhi nilioona kuwa ni very innocent... sikujua kuwa itafika huku... kweli watu wameguswa

Watu wamebabuliwa na diproson shemeji yangu.....lazima waguswe. Mtu uking'aa kidogo basi wanajua eti nimekuja kuwaibia. Kwani mi ndiyo niliwatuma wazaliwe vilema wa uso?
 
Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
Radhia mwenzio ndiyo limoyo langu limeshakudondokeaga na ukinikubali nauza hekari zangu 200 za shamba la tumbaku huku tukale raha ughaibuni!Mtoto mtamu kama ugolo duh!
 
Watu wamebabuliwa na diproson shemeji yangu.....lazima waguswe. Mtu uking'aa kidogo basi wanajua eti nimekuja kuwaibia. Kwani mi ndiyo niliwatuma wazaliwe vilema wa uso?
loh......... aisee haya mama.
ngoja 2 nikukubali we mzuriii mamie jaman.
 
gari inayovutwa haiwezi kuover take inayoivuta babu utajijuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Si vibaya kujisifia uzuri wako, ila unautumia kufanya nini na kwa maslahi ya nani zaidi yako...kuna wadada wazuri tu tunawaona kila kukicha wakifanya kazi za jamii,kusaidia watu,kuwapa watu moyo,kuchangisha fedha kwa ajili ya watu wenye uhitaji,huo ndo uzuri ninaotamani wasichana wengi tujivunie. Huu wa sura uwe ufunguo wa matendo mema,na yenye utukufu kwa Mungu aliyekuumba na si wa kuangalia asiye mzuri kama wewe...!!

NB: Lizzy wewe ni msichana mwenye uwezo mkubwa wa kujadili hoja nzuri na muhimu sana kwa jamii. Kuona kwamba umetumia muda mrefu hapa kunanipa shida...i know the beauty n strength in you, lets remain focused!! mshukuru pia Mungu kukuumba mzuri na kukupa moyo wa kupenda watu,kuheshimu wote, na kupenda kuwa sehemu ya kufanya maisha ya wenye uhitaji bora zaidi. Its the beauty you should be more proud than anything!

Radhia, hongera sana,u mzuri na mwenye mvuto sana,ni kweli wala sikejeli. Uthamini uzuri wako na usiutumie ku-show off,manake hata mashangingi na malaya wengi ni wazuri zaidi hata ya wewe,asset yao ni uzuri wao lakini mbele za wanadamu si kitu. Its how you use the beauty in you that matter most.

Thank you dearest.
Nwy, things like this aren't to be taken seriously na kupumzisha akili muhimu.
 
Hey haters... You still at it? 
Ngoja mie niwahi zangu NMC nikawakumbuke mashujaa waliokufa wakipigania haki... Gee ukinionea bht mwambie nimetangulia atanikuta nimekaa ule upande yaliko paki magari mabovu ya Tango... See you!
 
Tukimpata huyu katika mawifi basi maisha yatakuwa safi sana, coz,una mawifi wa kila aina na utofauti wao ndo unafanya maisha interesting na yenye msisimko...lol:juggle:


Nina raha mimi.... Mungu anipenda....lol

King'asti - Wifi matata
Sweet Lady - Wifi yupo so sweet.
Michelle - A Lady
Dena Amsi - Wifi hakwepeshi huyu

Radhia.... Ngoja akubali....lol
 
Radhia Sweety... Thanks for making this part of the day.... It was really entertaining to be part of your Thread.... 😛oa Bye.
 
Ngoja mie niwahi zangu NMC nikawakumbuke mashujaa waliokufa wakipigania haki... Gee ukinionea bht mwambie nimetangulia atanikuta nimekaa ule upande yaliko paki magari mabovu ya Tango... See you!

Salam zitafika....nitamwambia "something to do with magari mabovu, don't ask me what"
 
mkuu, huu ni mnyukano wa avatar........
mnyukano wa 'kuonana' ulikuwa juzi.........kama huna GX mia ya kuazima usim-PM AshaDii wala Lizzy!!


Duh...kama imekuwa hivyo mbona wanigeria na wacongo tunao humu watawaendea na maHummer ya kukodi self drive!! mimi ntawashukia na ile limousine ipo pale makumbusho UWT!
 
Thank you dearest.
Nwy, things like this aren't to be taken seriously na kupumzisha akili muhimu.

You are welcome dearest, make fun of threads like this. umetoka kuwaza,ada ya watoto,mara mume kaachishwa kazi,mama mkwe anataka kuja kutibiwa,mdogo wako ana send off,house girl anataka kwenda likizo,bei ya mafuta ndo hiyo,maji hamna nyumbani siku tatu,gari inatakiwa kufanyiwa service,ukija JF ukakutana na thread kama hii unafanyaje...jipe raha wee halafu kaoge,ule chakula ulale...tomorrow is a new day.!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom