Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Status
Not open for further replies.
Mambo ya sura halisi hayo!
Mambo ya 2012.
Sasa hiyo tena siyo avatar, ni photo.
 
wasifie nini cheki vimikono kama fito? wallah mpenzi wako ana shida hana hata sehemu ya kushika,umekauka kau ukipita karibu na moto si unaanza kuwaka inabidi uwe unatembea na kaportable fire extinguisher kwa usalama wako
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa smile duh!
 
Mod wa Jukwaa naomba ufunge mjadala ili thread nyingine nazo zifikishe wachangiaji angalau hata 50 ili tusiwakatishe tamaa wakaona JF ni ya wanawake tu......
 
wenzako wakiweka picha zao hapo nadhani utakatoa hako kapicha chako faster hahahahaha..... pole acha kilomo lomo
 
Aisay nikisema wanawake wengi hamna akili mnabisha.

Yani ukiona hapa ndo unajua kabisa haziwatoshi.

Kisa mmoja wao kasema yeye mzuri, wengine wamekasirika.

Katika 15% ya wale wanawake wenye akili duniani, naona hawapo hapa.

Peace.
 
Salam zitafika....nitamwambia "something to do with magari mabovu, don't ask me what"
Haya tell me that 'smthing to with magari mabovu Gee...'lol! Nataka niwahi ki'ford kuelekea National Milling Corp!
 
Haya tell me that 'smthing to with magari mabovu Gee...'lol! Nataka niwahi ki'ford kuelekea National Milling Corp!

Hahaha " don't ask me what" lol
 
Mmh jipende mwenyewe mwaya. nitakupa maks zako hapa niko kwenye simu.
 
heheheee kwani hiyo phrase ilinihusu? si ulikuwa unamwambia hater SL?

Hiyo ndo ntoke vipi yangu..."don't ask me anything to do with magari mabovu, coz this brain of mine can't stand anything kibovu"

Hey haters 😉
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom