Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Status
Not open for further replies.
yaani Ashadii kweli kizuri chajiuza kibaya chajitembeza ,si umeona mwenyewe,Radhia alivyo mrembo wa Jf
hapa leo twala ugali na mlenda kwa kurumangia na maziwa mgando karibu sana...


FL1 kuna ugali wa kutosha? Ugali kwa mlenda shurti ugali uwe mlima ati.....lol....

Naona Radhia is the type of person whether you like it or not.... Utamkubali tu!
 
Jamani yuko wapi shoga yangu Marytina? Usiku wa mwaka mpya kanipigia simu weeee hadi nikaona kero.
 
hahahahha.... Yule Lawyer reserved for the Special Lady Michelle.... (toka ameingia anga zako hata naji nitembelea sis wake.... Dah)


Yupo mwingine kabisa! Yeye huyo kichwa kimepinda... Uzuri wa Radhia waweza muweka katika mstari..... If you know what I mean...:eyebrows:

he he he manake ninavyompenda kaka yako na kujiamini kuwa ni mzuri napendwa kweli ningesikia ndo unampa Radhia mzuri mwenzangu ila mdogo mdogo tusingeelewana, hapo red,i know what you mean....na zaidi Radhia kama wakifikia ndoa basi watoto watakuwa wazuri sana,walionyooka nje na ndani...i second that..lol
 
hakuna mwanaume aliyejitosa bado hadi sasa hivi/?

Jamani Ivuga... Wee si ndo wawakilisha akina kaka... Au umejitoa kwenye kundi?

urafiki gani dadangu AshaDii? Najua unataka unitafutie kakako anioe....lakini mbona mimi nina mchumba tayari........?



Radhia... Genuinely I like you.... Siku hizi mwanamke mwenzio akikuomba urafiki kweli inabidi ujue hasa waht kind... Hongera kwa mchumba... He is a Luck man.
 
mkuu, huu ni mnyukano wa avatar........
mnyukano wa 'kuonana' ulikuwa juzi.........kama huna GX mia ya kuazima usim-PM AshaDii wala Lizzy!!


Biggie hio GX 100 ndio tutakula? lol... Hicho sio kabisa kigezo kakangu....
 
Una wivu kama umesusiwa mimba na mpiga debe
hahaaaaaaaaaaaaa jamani loh! na mbona yy tu ndio imemuuma sana ivo..........wanawake bwana badala tusapotiane ndio tunaunguziana jamani............big up sana shost kwakuweka foto lako ......ila la ukweeeh!
 
Kwa niaba ya ndyoko na kwa niaba ya wana JF wote.......naomba huu mjadala ufungwe mara moja.....mashosti wote mliokereka kwa urembo wangu.......samahanini sana. Ni Mungu ndiyo alipenda niwe hivi.......

Usijali,ashukuriwe sana Mungu aliyekupa uzuri,akawapa wengine hekima,ujasiri,utu wema,roho nzuri na maisha ya kupenda wenzao kuliko wanavyojipenda wenyewe. Mungu atabaki kuwa Mungu,hakuna aliyemnyima uzuri uliozidi ila tu umeotofautiana na ukiangalia kwa undani kila aina ya uzuri una nafasi yake katika maisha na mafanikio ya mtu....! Big up Radhia!
 
he he he manake ninavyompenda kaka yako na kujiamini kuwa ni mzuri napendwa kweli ningesikia ndo unampa Radhia mzuri mwenzangu ila mdogo mdogo tusingeelewana, hapo red,i know what you mean....na zaidi Radhia kama wakifikia ndoa basi watoto watakuwa wazuri sana,walionyooka nje na ndani...i second that..lol



I know.... I know.... Love bana haifichiki bana... I can see it mkiwa pamoja.....lol... Radhia usiwe na wasi kanitolea nje hadi Urafiki!


Itabidi nianze kupanga strategies.... She has to be one of my Wifi!
 
He he he, nshapata wahisani
Wenye maneno semeni
Siogopi kusutwa kwa matarumbeta
Kama maneno nimezoea
hata kwenye keki yapo na tunazila

Hujambo bibie!
biashara matangazo babuuuuuuuuuu na wahisani lazima waweko au sio
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom