Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Mwanaume yoyote ana mwanamke wake anaempa pesa tena bila hata kuombwa

Ndiyo maana mimi siwezi kumuomba mwanaume pesa unless nimetingwa kupita kawaida yaan nimezidiwa sana
Hiyo ndio imekaa poa we imagine mtu unaombwa mpaka hela ya lambi lambi ungekuwa ni mwanaume ungejua visanga tunavyokutana navyo ni vile tu hatuongei kama wanawake ndio maana tunaonekana ni wabaya
 
Wote hawa ni Liabilities..

Huyo wa kwanza Hatari sana kwa Afya yako Uzeeni..
Wa pili hatari kwa Afya yako ya Ujanani, ni Mchepuko Material na the Next Single Mother in town..

Ili ufaidi maisha inabidi uwe nao wote.. :ALIENALIENALIENALIENALIEN:
 
Dawa ya yote haya ni kuoa mke mmoja na kutengeneza nae familia.

Cha msingi ukae nae na katiba yenu ijulikane na ibara zake zote. Priorities zote ziwe ni nyinyi tu, si nani wala nani, nyie kwanza. Hata kama mmoja ndo mleta pesa, mwingine ajue majukumu yake.

Mwanaume epuka michepuko, hao mpango wa kando wanamaliza sana pesa na focus. Usiwe na mpenzi mwingine ila mke wako. Na mke afanye vivyo hivyo. Usipende kula gengeni, kula alichopika mkeo. Ikipidi akuandalie chakula hata kama ni chai ubebe uende nayo job. Kula home made.

Tunza mkeo na watoto wako, wakipata furaha hata nawe utakuwa na furaha. Akipotoka mjenge kisaikolojia na ongea nae mara kwa mara kumjenga. Kama ni mwelewa utadumu nae. Kama si wa kukaa, basi hata ufanyaje ataondoka tu.

A woman is either wifeable or fu**kable. Ukipenda namba 2 itakula kwako.
 
Red flag zinaonekana ni vile wanaume dhaifu wanazipuuzia na kukubali kuongozwa na hisia badala ya akili. Wanawake ni wepesi sana kuonesha hisia zao kama anakupenda na kama hakupendi na pia na mapenzi yake yakiwa yameisha kwako.
Tatizo linaanzia hapo kwenye kutumia hisia. Kuna mwanamke tangu siku ya kwanza kabisa unaona redflag ila unakomaa upige
 
Ni jambo kubwa nalichukulia kwa uzito mkubwa na nililokuwa nalisubiri for many years hatimae leo limetimia na kuwa kweli
Christine_1 ni wapi ungepata mtu anaejua kumshukuru Mungu kwa ajili yako kwa kiasi hiki. Hii ni zaidi ya mibaraka kwako. Wengine wanataka hata anaepumua tu ila wewe umepewa mwenye mibaraka tele.
 
Back
Top Bottom