Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Basi itakuwa mimi nina tatizo somewhere kichwani kwangu, kwasababu napenda na nafurahi kumpe mke wangu pesa hata kama sio nyingi, ila kuna furaha flani napata na huwa haniombi ombi
Mwanaume yoyote ana mwanamke wake anaempa pesa tena bila hata kuombwa

Ndiyo maana mimi siwezi kumuomba mwanaume pesa unless nimetingwa kupita kawaida yaan nimezidiwa sana
 
Kunguru hafugiki kamwe!

Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
kaka, kunguru anafugika mpe makange tu na piga spakos za kwenda, akijichanganya kosa dogo sana kabia juu ndo ile kesi ya kuku unauza ng'ombe makofi ngumi ndo booster ya ndoa
kichwani ajue kbsa ipo siku utamuua akiishi na ideology hii uzee wa pamoja huu hapa kaka
 
Back
Top Bottom