Kuna wanene na wenye matako makubwa jua kutofautisha hiloWanawake wembamba wanaongza kwa kupiga mizinga.... Kuliko wanene
Kwenye list hii ya kupiga vizinga kwakweli sipo naomba unitoeHalf american Christine_1 Missy Gf Hziyech22 Kuna baadhi wadada ni pisi balaa, ila amegonga 30+ hana mume wala mahusiano ya maana, unaeza dhani kalogwa au ana jini mahaba, kumbe sio ukichunguza unakuta yuko single sababu ya tabia yake ya kupiga vizinga wanaume, wanaume wanaishia kumkimbia 🙄
Dah nimecheka umeweka na msisitizo kabisaKwenye list hii ya kupiga vizinga kwakweli sipo naomba unitoe
Sio tabia yangu mkuuDah nimecheka umeweka na msisitizo kabisa
Me nachojua mwanaume akikupenda ndio huwa anajitoa kwa mwanamke sio mwanamke halazimishe mwanaume ajitoe kwakeSio tabia yangu mkuu
Ewaaa, mwanaume akikupenda atakupa bila kuombaMe nachojua mwanaume akikupenda ndio huwa anajitoa kwa mwanamke sio mwanamke halazimishe mwanaume ajitoe kwake
Sema watoto wa 2000 huwa wanasumbua sanaEwaaa, mwanaume akikupenda atakupa bila kuomba