Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 17,099
- 55,071
Real let me do itPamoja mkuu ni muhimu kupata alie bora kabisa.
Real let me do itPamoja mkuu ni muhimu kupata alie bora kabisa.
Hapo ndipo wanapofeli unakuta kila ukimpanga anakupa sababu zisizo na kichwa wala miguu alafu still akiomba shida zake we unaendelea kumtatulia hapo tayari we ndio unashida. Kwenye Dunia ya Sasa ukiona kutumia nguvu kubwa kumpata mwanamke wejua huwezi kudumu kwenye hayo mahusianoTatizo linaanzia hapo kwenye kutumia hisia. Kuna mwanamke tangu siku ya kwanza kabisa unaona redflag ila unakomaa upige
😁😁😁Eti mtoto wa dada kameza sh 50 tuma laki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa ke wabinafsi sana wanataka wahudumiwe tu bure bure. Wengine wanalalamika kabisa huwezi ukanihudumia bila kufanya tendo. Ukishaona hivyo ujue hapo unatumikaHapo ndipo wanapofeli unakuta kila ukimpanga anakupa sababu zisizo na kichwa wala miguu alafu still aliomba shida zake we unaendelea kumtatulia hapo tayari we ndio unashida. Kwenye Dunia ya Sasa ukiona kutumia nguvu kubwa kumpata mwanamke wejua huwezi kudumu kwenye hayo mahusiano
Kweli kabisaHii dunia hatari sana unaemuona salama ndio hatari zaidi
Kuna ushuhuda tena hapa
Kwenye vikao vya wanaume wanasema wake zao wanawanyima unyumba ndio maana wanachepuka, mna kelele nyingiSio kwa hawa watu weusi
Wachache sn wanaweza kuwa na mtu 1
Ni kuwa makini mda wote masikio juu kama sunguraKweli kabisa
Mzee wa simba tuliaKuna ushuhuda tena hapa
Dah! NimechekaMwingine anakwambia mama anaumwa anaenda kumuona mkoani umsaidie nauli kumbe anatoka kigamboni anaenda mbweni kwa bwana.
SawaKwenye vikao vya wanaume wanasema wake zao wanawanyima unyumba ndio maana wanachepuka, mna kelele nyingi
Naungana na mashabiki wenzangu kukutakia heri katika safari yako hii mpya...Mzee wa simba tulia
Nazipokea kwa unyenyekevu mkubwa sanaaNaungana na mashabiki wenzangu kukutakia heri katika safari yako hii mpya...
Mungu awabariki.
Mungu aibariki Simba.
Kuna mmoja ikiwa bado sijafanya nae sex tukiwa tupo kwenye mahusiano akawa ananiambia siwezi kukupa mpaka unioe Sasa nikamwambia kwani wewe ni bikra akasema hapana nikamwambia kwanini unataka unipe mpaka nikikuoa mbona kwenye shida zako unaomba nikutatulie Je namimi nikisema kama unavyosema wewe nitakuwa ninakosea??? akawa anasema Mimi sipendi mapenzi na nimeokoka.Basi baadae nikamla tangu nimle mara nyingi yeye ndio akawa ananiomba game hivi viumbe vina shida sio kila jambo lao uliaminiKweli kabisa ke wabinafsi sana wanataka wahudumiwe tu bure bure. Wengine wanalalamika kabisa huwezi ukanihudumia bila kufanya tendo. Ukishaona hivyo ujue hapo unatumika
Hili jambo huwa ninashangaa hivi kwanini mnakuwa mnawanyima unyumba waume zenu wakati wamewatolea mpaka na mahari na ndoa mmemfunga kuonesha mtakuwa chini yaoSawa
Mi sio mke wa mtuHili jambo huwa ninashangaa hivi kwanini mnakuwa mnawanyima unyumba waume zenu wakati wamewatolea mpaka na mahari na ndoa mmemfunga kuonesha mtakuwa chini yao
Then You ere finished.Kama huna na kuomba huwezi?
Hakika!Kiukweli jmn kuomba hela ni kazi asikwambue mtu!nje ya mzazi, kaka, dada ni kipengele...
Napenda mtu yeye aelewe mi ni mwanamke nina matumizi yale ya kawaida tu, anipe yeye mwenyewe sio mpk nimuombe jmn!
Kwanza nikipewa bila kuomba nafurahi najua kuna mtu ananifikiria.
Yaani niombe pale ambapo ss sina namna nimekwama kabisa..
Kwahiyo sio kwamba unatoa sababu inatoka moyoni, unatoa ili yeye aje akupe zaidi Sasa hayo ni mapenzi au biashara 🤔 Saint AnneHalafu wanawake hawajui tu
Yaani ukitaka mwanaume awe anakununulia vitu, anza wewe kumnunulia Kwa hela yako hiyohiyo hata kama ni kidogo.
Utaona atakavyokushangaza.
Njia Moja wapo ya kumfundisha mtu kutoa, ni wewe kuonyesha mfano wa kutoa.
Halafu sasa hela Zenyewe tunazowanunulia zawadi, ndio hizohizo ambazo baadaye mnatupa.
..
Hii inafanya kazi kwa real men
Siyo wale Marioo
Na ndo hatunaga bahati ya wanaume wa maana full disappointmentHakika!
Hata mm naweza kuandika msg ya kuomba pesa nikafuta nikaandika nikafuta tena jasho linajitoka! Aisee kuomba ni kipaji! Lkn Ndio hivyo akina Sisi n