Mwanamke akipenda inakuwa kero

Mwanamke akipenda inakuwa kero

We nawe unaleta ngebe bure!! Mungu akupe nini kupendwa ndio huko! Au unataka kidonda ufukuzie nzi! Usokuwa na shukrani!!

Mnakera sana halafu mjue tunafanya kazi za watu boss gani atakubali kuona kila muda upo bize una chati na mpenzi wako.
 
Mnakera sana halafu mjue tunafanya kazi za watu boss gani atakubali kuona kila muda upo bize una chati na mpenzi wako.

Mkuu huyo unamwambia au ukiona hakuelewi unampigia simu kila akituma sms
 
Love is complicated.

Akiacha kukutafuta utakuja sema, mpenzi wangu hanijali siku hizi. Shukuru kwa ulichonacho, kuna watu wanatafutwa mwisho wa mwezi tu tena kuombwa hela.

Sometimes ina-bore but don't take her for granted
 
Ni kero aiseee, halafu ukutane na katoto kamezoea kudekezwa huko kwao, tabu tupu
 
Teh teh,wewe una kazi,unampenda mtu asiye na kazi kitu cha kumuweka busy unategemea nin?mtafutie kazi uone kama atakusumbua kiasi hicho,
 
Alafu naskia kuna wanaume wanatafuta kupendwa,nyambafu,tafuta hela kwanza alaf ndo akili itakuakaa sawa ujue mapenzi yana price tag
 
Molembe, Ukioa hayo yatapungua, maana mnaelewana ratiba zenu na majukumu yalio mbele. Tatizo ni kuwa unajaribu kumfikiria mwanamke kupitia tabia za kiume, ukitaka kuwaelewa elewa wanawazaje, wanawake wanaenda kwa kusikia, kila kitu umtumie message, umpigie au email inatosha. Wanaume inanoga kwa macho, kama kasafiri atataka video call au picha inatosha. Tofauti ya wanawake na wanaume ingine iko katika kujiamini, wanawake hawana kujiamini kama anapendwa au anamisiwa hata kama alishaambiwa anataka kuhakikishiwa. Mwanaume yeye ni tofauti akishajua huyu ni wangu, hana wasiwasi. Tumeumbwa tofauti, ukiimaster hiyo mkuu wala haikupi shida, tatizo hauko wazi ungekuwa free naye unamwambia tu mapema baby niko busy tuwe tunaongea baada ya kazi jioni, na lunch time unamrushia message yeyote nzuri. Yeye mwenzio anazani anaonyesha upendo kumbe anakuboa.....
yani umeongea point,hamna kitu inaumiza moyo wangu km nina mmiss mtu nampigia afu he just ignores my calls,..sawa upo busy basi hata badae kujua alokuwa anakupigia alitaka kusemaje,anyway ndo mapenzi hvo
 
yani umeongea point,hamna kitu inaumiza moyo wangu km nina mmiss mtu nampigia afu he just ignores my calls,..sawa upo busy basi hata badae kujua alokuwa anakupigia alitaka kusemaje,anyway ndo mapenzi hvo
usiumie sana, ukitaka kujiokoa ni kupunguza kuinvest sana sehemu ambayo hamna return, tafuta vya kukuweka busy au marafiki wa kuchat, kama wako ni wako tu atakuja, kama sio wako utajiumiza bure na masimu na mamessage yasiyojibiwa.
 
Kil kitu kikizid n kero jamani..... kuna wanawake wanakera sana anakukagua muda wote kila unachofanya umwambie, mara upo wap na nan... mbna kumetulia ivo agrrrrrrr
 
usiumie sana, ukitaka kujiokoa ni kupunguza kuinvest sana sehemu ambayo hamna return, tafuta vya kukuweka busy au marafiki wa kuchat, kama wako ni wako tu atakuja, kama sio wako utajiumiza bure na masimu na mamessage yasiyojibiwa.

yah I get that..mtu akikukaushia inakusaidia kuelewa who you are kwenye maisha yake
 
jifunze kuwa na shukurani japo kidogo tu. huyo kakupenda wewe na si hela zako wala kazi zako. najua akinyamaza akawa bize na mambo yake bila kukutafuta utakuja humu kuomba ushauri. pls ridhika na afanyacho mpnz wako. km humpendi mwambie usimpotezee muda.

Hakunaga kupoteza muda kwene mapenz... mnapotezeana wote.... na kila kitu kinahitaji kiasi ukizidisha hata kiwe kizuri vip kitakuwa kinyume na kuwa kero sasa
 
Love is complicated.

Akiacha kukutafuta utakuja sema, mpenzi wangu hanijali siku hizi. Shukuru kwa ulichonacho, kuna watu wanatafutwa mwisho wa mwezi tu tena kuombwa hela.

Sometimes ina-bore but don't take her for granted

Ukiona unatafutwa mwisho wa mwez tu en still unaendelea nae you are stupid then.... tumeagizwa tuishi nao kwa akili awa wenzetu
 
Kupuga simu kupita kiasi na SMS kila mara sio mapenzi.

Watu wanapiga cm na kutuma msg huku wako mchepukoni.

Angalizo

Kupiga cm na kutuma SMS kila mara sio mapenzi.

upo sahihi, wengi wao dakika chache kabla ya kukutana na Mchepoko wanawapigia simu wapenzi/wanandoa wao ili wasipigiwe simu wakati wanachepepuka.
 
Binadamu siku zote haridhiki na kitu cz akikupigia sana unaona kero buh ikiwa yy nae yuko busy asipokutafuta unaanza kulalama ah mwanamke gani hajali, mwanamke huyu itakuwa kapata bwana mwngne.. Boys we ave to accept the fact that wanawake wanajali sana.. Akikuchunia ndo wakwanza kusema these hoes aint loyal.. In life always appreciate wat u have
 
Back
Top Bottom