SUPERUSER
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 960
- 308
yani umeongea point,hamna kitu inaumiza moyo wangu km nina mmiss mtu nampigia afu he just ignores my calls,..sawa upo busy basi hata badae kujua alokuwa anakupigia alitaka kusemaje,anyway ndo mapenzi hvo
Sasa kuna wengine akiona upokei badae unakuta missed call 20 afu ukimpigia ugomvi...sasa mtu wa namna iyo anakera kwa kweli....nakumbuk 2012 siku moja nlisahau kuchaj simu usiku afu next day kulikua na mgao so sikua hewan the whole day..ile kuja kuwasha simu tu msg kibao mara tuachane mara unijali....etc...ni sheedar!!