Matege
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 1,476
- 648
mkipendwa shiida,msipopendwa sheeedeeer..hv mbona hamna jema nyie,anakusumbua cz she cares,ipo siku atasepa
kabisaa... ukiwa huna time pia wanalalamika
mkipendwa shiida,msipopendwa sheeedeeer..hv mbona hamna jema nyie,anakusumbua cz she cares,ipo siku atasepa
Hahahahaaaaaaa duniani kunavituko vingi kweli,
wakati wengine wanalalamika kuwa wanahisi hawapendwi kwa dhati, wengine wanaomba wapunguziwe kiasi cha kupendwa,
hongera kwa kupendwa kupita kiasi mkuu
Wanawake wakipenda inakuwa kero kila mara ni kupiga simu tu hamjui wenzenu tunakuwa busy na kazi, hivi tukishinda tunaongea tutapata wapi pesa ya kuwahudumia tuwacheni tufanye kazi na mpunguze hayo mapenzi yenu wanaume wa sikuhizi miduara, tatizo lenu mkipenda hamna kiasi mnajiajiachia mno hadi mnakua kero kwa wenzenu.
lkumbukwe kuwa mwanamke anapenda kwa hisia na mwanaume anapenda kwa kutumia akili sana. Kero ya mawasiliano yanategemea utashi kwani ukijua mpenzi wako yupo job inabidi usubiri akutafute yeye kama wewe hauko busy. na ukipiga simu ukiona kimya unatulia anakutafuta siyo kurudia kila saa. sisi tumezoea kuambiana sasa nipo busy baadae tutaongea au tutachat.
ha haaaa, you are right rafiki.......Mhhhhh!! Mwanamke akipenda inakuwa kero!?![]()
Uteja una wenyewe!!! Wengine wanajionea kero ati!!! @![]()
CC: Fixed Point
ha haaaa, you are right rafiki.......
sijui inakuwaje watu wanaona kero..... labda wanapendwa na wasiowapenda..... that is the only explanation I can provide