Mwanamke akipenda inakuwa kero

Mwanamke akipenda inakuwa kero

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,863
Wanawake wakipenda inakuwa kero kila mara ni kupiga simu tu hamjui wenzenu tunakuwa busy na kazi, hivi tukishinda tunaongea tutapata wapi pesa ya kuwahudumia tuwacheni tufanye kazi na mpunguze hayo mapenzi yenu wanaume wa sikuhizi miduara, tatizo lenu mkipenda hamna kiasi mnajiajiachia mno hadi mnakua kero kwa wenzenu.
 
wako wanaopenda kupitiliza bhana hadi kero sijui yanakuwa mapenzi au nini hadi unataman umuache. Kila wakati calls na texts ambazo si constructive
 
Kweli ubinadamu kazi, hata umlambe nyao na ulimi atakuambia wamuumiza.
Sasa ukipendwa shida usipopendwa shida vilevile jamani, kweli binadamu kiumbe mzito hata umfanyeje atasumbua tu.
Na kumbuka uwezi kumlazimisha mtu kua apunguze upendo, upendo ni kitu from within you can't change it by any means!!
 
Hahahahaaaaaaa duniani kunavituko vingi kweli,

wakati wengine wanalalamika kuwa wanahisi hawapendwi kwa dhati, wengine wanaomba wapunguziwe kiasi cha kupendwa,

hongera kwa kupendwa kupita kiasi mkuu
 
Dawa ni kutafuta Dada Poa tu, mnatafutana mkiwa mna shida, Huyu anataka kikojoleo yule anataka pesa! The rest ni mbwembwe tu, kwa hio wewe piga kazi, pata pesa, tafuta Changu mtamuuu, mpe pesa mnamalizana unarudi kazini. Don't take it too serious
 
Kabisa mkuu yani mpaka kero, ukichelewa kupokea simu kesi, ukichelewa kujibu text kesi, usipompigia kabla ya kulala kesi, atapiga simu usiku wa manane ili kuprove kama uko ndani, usipomuaga kama unaenda kula kesi, atakuibukia kwa ofisi gafla, ukiwa nae ndo balaa kila text na call atataka kujua inatoka kwa nani, ukiangalia tu pembeni kesi, ukisalimiana na watoto wa kike badae maswali kibao. yani ni kero tupu
 
Kupuga simu kupita kiasi na SMS kila mara sio mapenzi.

Watu wanapiga cm na kutuma msg huku wako mchepukoni.

Angalizo

Kupiga cm na kutuma SMS kila mara sio mapenzi.
 
Kabisa mkuu yani mpaka kero, ukichelewa kupokea simu kesi, ukichelewa kujibu text kesi, usipompigia kabla ya kulala kesi, atapiga simu usiku wa manane ili kuprove kama uko ndani, usipomuaga kama unaenda kula kesi, atakuibukia kwa ofisi gafla, ukiwa nae ndo balaa kila text na call atataka kujua inatoka kwa nani, ukiangalia tu pembeni kesi, ukisalimiana na watoto wa kike badae maswali kibao. yani ni kero tupu

Dawa ya mtu kama huyo nikutongoza Kila mwanamke.....halafu unaongea kimahaba kwenye Simu hadi apate wendawazimu
 
mkipendwa shiida,msipopendwa sheeedeeer..hv mbona hamna jema nyie,anakusumbua cz she cares,ipo siku atasepa

kupenda kiasi sasa sio unataka kuonekana ka vile ndo mama mapendo, hujawai kupenda mwingine...
 
Bora ww kuliko wetu hawa wa kupiga mizinga daily agrrrrrrrrh
 
Usipopendwa anakubeep tu wewe ndiyo umpigie, hata ukimtumia vocha hapigi wanapigiwa wengine, ikiisha anakubeep tena utume vocha.
 
Wanawake wakipenda inakuwa kero kila mara ni kupiga simu tu hamjui wenzenu tunakuwa busy na kazi, hivi tukishinda tunaongea tutapata wapi pesa ya kuwahudumia tuwacheni tufanye kazi na mpunguze hayo mapenzi yenu wanaume wa sikuhizi miduara, tatizo lenu mkipenda hamna kiasi mnajiajiachia mno hadi mnakua kero kwa wenzenu.

doh! namuonea huruma huyo dada. ungekuwa na wewe unampenda wala usingeona kero akikupigia mara kwa mara. nway, mpe hata mtaji wa maandazi ajikeep busy na yeye. sometimes kukaa bila kazi kunawwza kuwa kunachangia hili.
 
Back
Top Bottom