Mwanamke akipenda inakuwa kero

Mwanamke akipenda inakuwa kero

Jamani ukipendwa we shukuru tu. Wengine hapa kila siku mnalalamika ooh nikimtumia hela hasemi kama kaipata wala kusema ahsante, unatuma vocha afu kupigiwa wanapigiwa wenzako. Ukimpata anayekupigia kwa vocha zake unalalamika, sasa mnataka nini jamani?
 
Molembe, Ukioa hayo yatapungua, maana mnaelewana ratiba zenu na majukumu yalio mbele. Tatizo ni kuwa unajaribu kumfikiria mwanamke kupitia tabia za kiume, ukitaka kuwaelewa elewa wanawazaje, wanawake wanaenda kwa kusikia, kila kitu umtumie message, umpigie au email inatosha. Wanaume inanoga kwa macho, kama kasafiri atataka video call au picha inatosha. Tofauti ya wanawake na wanaume ingine iko katika kujiamini, wanawake hawana kujiamini kama anapendwa au anamisiwa hata kama alishaambiwa anataka kuhakikishiwa. Mwanaume yeye ni tofauti akishajua huyu ni wangu, hana wasiwasi. Tumeumbwa tofauti, ukiimaster hiyo mkuu wala haikupi shida, tatizo hauko wazi ungekuwa free naye unamwambia tu mapema baby niko busy tuwe tunaongea baada ya kazi jioni, na lunch time unamrushia message yeyote nzuri. Yeye mwenzio anazani anaonyesha upendo kumbe anakuboa.....
 
Molembe mwanamke kama una pesa mapenzi anayokuonyesha inakuwa hadi kero
Sasa firisika kama ww ndiyo hujaanza kuitwa kero
 
Last edited by a moderator:
dah watu mna raha jaman...wengine tunautafuta huo upendo wa namna hyo..nyie mnaukataa...
 
mie nikipata msichana kama huyo siyo wale wachuna mabuzi siku 3 tu nitanenepa kama siyo kunawili

dah ni kweli mkuu...huyu jamaa hana shukrani kabisa...yani mim nataman nipate wa namna hyo..lakin wapi naishia kupata wa kuchuna tu ...
 
Kweli ubinadamu kazi, hata umlambe nyao na ulimi atakuambia wamuumiza.
Sasa ukipendwa shida usipopendwa shida vilevile jamani, kweli binadamu kiumbe mzito hata umfanyeje atasumbua tu.
Na kumbuka uwezi kumlazimisha mtu kua apunguze upendo, upendo ni kitu from within you can't change it by any means!!

~~~~~
mkipendwa shiida,msipopendwa sheeedeeer..hv mbona hamna jema nyie,anakusumbua cz she cares,ipo siku atasepa

~~~~~~
Tofautisheni Upendo na usumbufu,mtoa mada amezungumzia usumbufu,kupiga simu mara kwa mara sio upendo bali ni usumbufu.
 
jaamani kwa hiyo sisi wanawake tunawasumbueni au ndo nini jamani


cc@Muuza ubuyu


~~~~~


~~~~~~
Tofautisheni Upendo na usumbufu,mtoa mada amezungumzia usumbufu,kupiga simu mara kwa mara sio upendo bali ni usumbufu.
 
wengi wao hatuko hivyo panapohitaji kuonesha upendo tunaonesha ndo maana wakati mnafungishwa ndoa kuna maneno yanayosemwa na watumishi kuwa tutakuwa katika raha na shida ukiona mwanamke anakupend kwenye raha na kwenye shida anakuwa mbali basi huyo si wife material bali ni material wife tu
Molembe mwanamke kama una pesa mapenzi anayokuonyesha inakuwa hadi kero
Sasa firisika kama ww ndiyo hujaanza kuitwa kero
 
hivi kuna siku mmekubali mambo mnayofanyiwa na wanawake zenu?? maanaa kila siku negative tu juu yetu khaaaa
 
Wewe kubali tu, ukiwa unapotezea ataelewa
 
hivi kuna siku mmekubali mambo mnayofanyiwa na wanawake zenu?? maanaa kila siku negative tu juu yetu khaaaa

Mnakera bhana umebanana ofsini nje kuna watu wanakusubiri uwape huduma mwingine anapiga simu kila baada ya dk 3 ukipokea hakuna la muhimu kazi kuulizia umekula nini? uko na nani?
 
Kupuga simu kupita kiasi na SMS kila mara sio mapenzi.

Watu wanapiga cm na kutuma msg huku wako mchepukoni.

Angalizo

Kupiga cm na kutuma SMS kila mara sio mapenzi.

ni kweli mkuu mi nishwahi kuwa na demu akawa anampigia mpenzi wake na kumuuliza maswali mengi kama vile ana wivu naye kumbe geresha tu baada ya pale mzee nikapanda kufuani mzigo na mtu mara yule mpenziwe akapiga cm wakati dushelele langu lliko ku...ni tayari...yule dada alivyoongea utafikiri kweli amelalalkumbe anaongea huku kitu kiko ndani ya nyumba... toka cku iyo i don't trust wanawake.
 
Baby...hujaumia?bby ume--k--un--ya leo? Baby...
 
Mhhhhh!! Mwanamke akipenda inakuwa kero!?
A%20S-confused1.gif
A%20S-confused1.gif
A%20S-confused1.gif
Uteja una wenyewe!!! Wengine wanajionea kero ati!!!
@

CC: Fixed Point



"Nana"


Put your hands in the air, the air
(Trigga)
Put your, put your hands in the air
(Mustard on the beat ho)

Ooh, na-na
Look what you done started
Ooh, na-na
Why you gotta act so naughty
Ooh, na-na
I'm 'bout to spend all this cash
Ooh, na-na
If you keep shaking that, oh

Ooh, na-na-na
Put your hands in the air if you're loving tonight
Ooh, na-na-na
Keep your hands in the air if you're spending the night
Ooh, na-na now, na-na, na-na-na-na-na
Everybody say it like
Ooh, na-na now, na-na, na-na-na-na-na
Everybody say

Baby I'm the one you like, yeah
I'm a give you what you like, yeah
Oh, yeah
I'm a give it to you right, yeah
Best time of your life, yeah, oh yeah
Baby when you ready tell the waitress get the check
Girl I know you ready I ain't even gotta check
You been through the worst let me show you who the best
You know I'm a get you right, get them boys to the left, like

Ooh, na-na
Look what you done started
Ooh, na-na
Why you gotta act so naughty
Ooh, na-na
I'm 'bout to spend all this cash
Ooh, na-na
If you keep shaking that, oh, oh

Ooh, na-na-na
Put your hands in the air if you're loving tonight
Ooh, na-na-na
Keep your hands in the air if you're spending the night
Ooh, na-na now, na-na, na-na-na-na-na
Everybody say it like
Ooh, na-na now, na-na, na-na-na-na-na
Everybody say

You the one who's hella bad, yeah
You the one they never had, yeah, oh, yeah
All the problems you done had, yeah
Leave them broke fellas in the past, yeah, oh, yeah
Girl you had good, but I could give you better
I'll have you thinking 'bout forever
I'm a make you say

Ooh, na-na
Look what you done started
Ooh, na-na
Why you gotta act so naughty
Ooh, na-na
I'm 'bout to spend all this cash
Ooh, na-na
If you keep shaking that, oh, oh

Ooh, na-na-na
Put your hands in the air if you're loving tonight
Ooh, na-na-na
Keep your hands in the air if you're spending the night
Ooh, na-na now, na-na, na-na-na-na-na
Everybody say it like
Ooh, na-na now, na-na, na-na-na-na-na
Everybody say

I'm feeling lucky tonight
Everybody say
When we leave this party, you gon' love me tonight
Everybody say
You feeling lucky tonight (tonight girl)
When we leave this party, you gon' love me tonight

Ooh, na-na-na
Put your hands in the air if you're loving tonight
Ooh, na-na-na
Keep your hands in the air if you're spending the night
Ooh, na-na now, na-na, na-na-na-na-na
Everybody say it like
Ooh, na-na now, na-na, na-na-na-na-na
Everybody say

Oh, ooh-ooh-ooh, na-na-na-na-na
Hands in the air
Na-na-na-na-na
Hands in the air
Na-na-na
Hands in the air
Na-na-na-na-na


Wanawake wakipenda inakuwa kero kila mara ni kupiga simu tu hamjui wenzenu tunakuwa busy na kazi, hivi tukishinda tunaongea tutapata wapi pesa ya kuwahudumia tuwacheni tufanye kazi na mpunguze hayo mapenzi yenu wanaume wa sikuhizi miduara, tatizo lenu mkipenda hamna kiasi mnajiajiachia mno hadi mnakua kero kwa wenzenu.
 
Last edited by a moderator:
Baby umelala? Ndio...."nione" =anataka pic...ukila anataka pic na maswali kibao...mbona hamna tunda? Mboga ya majani ndogo sana....yupo bench now
 
Jaman kweli hamna jema nyie wanaume mtu anaonyesha jinsi gani anavyokupenda we unaona kero looh
 
Back
Top Bottom