Mwanamke akipenda inakuwa kero

Mwanamke akipenda inakuwa kero

wengine tunaulilia upendo maana tangu tulione jua hatujawahi kupendwa...wewe unakereka na upendo...Kha!!!
 
Siku zote huwa nasema,wanaume tusio na mapenzi ya dhati hupata wanawake wazuri sana,wenye upendo wa dhati ila tunawa misuse,tunawashangaa kwa kutupenda na tunawalaumu kua wanatupenda sana.

Wanaume wastaarabu,wenye mapenzi ya dhati huangukia pua,hukutana na magumegume yasiyo na upendo,yanawatesa kila siku kilio.

Wanaume wengine hatuna shukrani,hata tupewe nini,pia baadhi ya wanawake.
 
baby unataka nikuzalie watoto wangapi?
 
Wanawake wakipenda inakuwa kero kila mara ni kupiga simu tu hamjui wenzenu tunakuwa busy na kazi, hivi tukishinda tunaongea tutapata wapi pesa ya kuwahudumia tuwacheni tufanye kazi na mpunguze hayo mapenzi yenu wanaume wa sikuhizi miduara, tatizo lenu mkipenda hamna kiasi mnajiajiachia mno hadi mnakua kero kwa wenzenu.

Mleta mada sijui imekuwaje ukaleta uzi huu. Kwakweli inakera sana mapenzi ya hivyo. Hata mie huwa sipendi sana. BTW mtu anajua kwamba unampenda. Inafikia hatua anataka akufanye kama huna mambo mengine. Ikitokea amekuta simu yako ipo busy basi ni maswali ambayo hayana hata idadi juu ya nani ulikuwa unaongea nae. Inakuwa kama vile phonebook yako ina namba yake tu. Kwakweli kupenda huko ni kero.
 
Hahaha, dunia hii!
sasa hapo yuko busy, kutwa hana habari na mwenziwe na akitoka kwenye ubusy anaenda kunywa bia na washkaji. Akirudi akute mwenziwe anachat na matabasamu kibao anaanza wivu!

raha ya mjini, usiloliweza utasaidiwa na wasamaria wema. Period!
Nipe namba zake niwe na chat nae wakati wewe upo busy...
 
Hahaha, dunia hii!
sasa hapo yuko busy, kutwa hana habari na mwenziwe na akitoka kwenye ubusy anaenda kunywa bia na washkaji. Akirudi akute mwenziwe anachat na matabasamu kibao anaanza wivu!

raha ya mjini, usiloliweza utasaidiwa na wasamaria wema. Period!

wenzie wanautafuta upendo mpaka kwa waganga....yeye analeta mashauzi kama mzee yusufu....
 
Aiseee....sasa ukiwa na kazi unashindwa nini kumwambia kwamba kwa muda huu nipo bize?
 
Back
Top Bottom