kibella24
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 677
- 158
jifunze kuwa na shukurani japo kidogo tu. huyo kakupenda wewe na si hela zako wala kazi zako. najua akinyamaza akawa bize na mambo yake bila kukutafuta utakuja humu kuomba ushauri. pls ridhika na afanyacho mpnz wako. km humpendi mwambie usimpotezee muda.