Uchaguzi 2020 Mwana wa kulitafuta Lijualikali kalipata, baada ya kuangukia pua Ubunge ajaribu udiwani na kuambulia kura 5. Adaiwa kutamani kurudi CHADEMA

Habari kutoka huko jimboni Kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.

Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa CCM na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi CHADEMA.
Sipika atampa kibarua cha kumwagilia mchicha
 
Habari kutoka huko jimboni Kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.

Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa CCM na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi CHADEMA.
Acha Uongo, kwa utaratibu wa CCM Mtu mmoja hawezi kugombea nafasi mbili kwa wakati mmoja. Na atakayepitishwa ni Lijualika maana ndiye anayekubalika kwa Wananchi.
 
Kina Lijualikali, Mtolea nk walishinda Ubunge kwa sababu ya kampeni za mafuriko. Lowasa aliwaomba wananchi wamchagulie wabunge. Hawa jamaa hawakushinda kwa sababu ya sera au kuwa popular. Hata wangebaki upinzani, this time wasingeshinda ng'oo. Bora wabaki CCM wanaweza wakakumbukwa kwenye teuzi nyingine.
Teuzi zipi? Condom hua haitumiki zaidi ya mara moja hao sasa hivi ni garbage wametumika imeisha
 
Laana ya usaliti na mbwembwe zote zile.... Lazima apate msongo wa mawazo....
Lazima atashuka sana kwasababu marafiki zake wote aliowapata kupitia siasa wanamuona ni msaliti. Chama kilichokulea na kukufanya ujulikane unakisaliti kwasababu ya posho na maneno mengi ya kejeli?
Afurahie hali yake sasa
 
Habari kutoka huko jimboni Kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.

Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa CCM na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi CHADEMA.
Asipokelewe CDM msaliti huyu.
 
Ikiwa ni kweli, ni jambo jema hilo.

Liwe funzo kwake na kwa wengine wenye au ambao wanataka kuwa na tabia kama ya kwake.


JESUS IS LORD.
 
Hii ni kweli? Mbona amejipa demotion mwenyewe? Kama kuna mtu kamshauri amemshauri fyongo. Yaani kutoka ubunge, kufightia ubunge kisha kufightia udiwani.

Ila hao wajumbe ni hatari
Mkuu wajumbe ni zaid ya madalali maana anakuambia vyumba vipo ata nyumba yenyewe ajaiona

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuwasaliti wapiga kura uliowaomba kura mwenyewe ni doa kubwa sana katika siasa.

Apigwe tu, maana hamna jinsi.
 
Huu mwaka CCM ilitakiwa itoe fundisho kwa wanachama wake wanaokosa uvumilivu na uzalendo.

Kama mtu alituacha mtoni mwaka 2015 hata kama alijirudi kwa kuunga mkono juhudi anatakiwa apumzishwe kwa miaka 5 ili tujiridhishe kama ni kweli ni mwenzetu.

Hongera Tatamadiba shughuli yako tumeiona huko Kilombero, jamaa akataka kurudia kibarua chake cha udiwani nako mkampa za uso......ni noma!

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom