Vituko kwasababu ya ujinga wa wanasiasa wetu TzHuu mwaka hakuna kituko tutaacha ona, ni suala la muda tyuuuh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sipika atampa kibarua cha kumwagilia mchichaHabari kutoka huko jimboni Kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.
Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa CCM na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi CHADEMA.
Acha Uongo, kwa utaratibu wa CCM Mtu mmoja hawezi kugombea nafasi mbili kwa wakati mmoja. Na atakayepitishwa ni Lijualika maana ndiye anayekubalika kwa Wananchi.Habari kutoka huko jimboni Kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.
Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa CCM na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi CHADEMA.
Hahaha kwahiyo jua kali lamuwakia juu yake sasa?
Teuzi zipi? Condom hua haitumiki zaidi ya mara moja hao sasa hivi ni garbage wametumika imeishaKina Lijualikali, Mtolea nk walishinda Ubunge kwa sababu ya kampeni za mafuriko. Lowasa aliwaomba wananchi wamchagulie wabunge. Hawa jamaa hawakushinda kwa sababu ya sera au kuwa popular. Hata wangebaki upinzani, this time wasingeshinda ng'oo. Bora wabaki CCM wanaweza wakakumbukwa kwenye teuzi nyingine.
Lazima atashuka sana kwasababu marafiki zake wote aliowapata kupitia siasa wanamuona ni msaliti. Chama kilichokulea na kukufanya ujulikane unakisaliti kwasababu ya posho na maneno mengi ya kejeli?Laana ya usaliti na mbwembwe zote zile.... Lazima apate msongo wa mawazo....
Sas mtu ana milion mia tatu plus atatangatanga vip cc ndio tutatangatanga.Lijualikali ataishi kwa kutangatanga sana, laana ya kuwasaliti wananchi Wa kilombero haitamuacha salama
Asipokelewe CDM msaliti huyu.Habari kutoka huko jimboni Kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.
Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa CCM na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi CHADEMA.
Ndugai amepanga atamrudisha bungeni kwa tiketi ya CHADEMA.kwani aliyemtuma kuhama anasema je wakuu
yaan kabisaaaaahVituko kwasababu ya ujinga wa wanasiasa wetu Tz
Jitahidi kumliwaza, ila sasa hivi kwenye siasa haaminiki, hauziki, atahangaika sana. Muongoze kungine kabla hazijaisha.Sas mtu ana milion mia tatu plus atatangatanga vip cc ndio tutatangatanga.
Mkuu wajumbe ni zaid ya madalali maana anakuambia vyumba vipo ata nyumba yenyewe ajaionaHii ni kweli? Mbona amejipa demotion mwenyewe? Kama kuna mtu kamshauri amemshauri fyongo. Yaani kutoka ubunge, kufightia ubunge kisha kufightia udiwani.
Ila hao wajumbe ni hatari
kwi kwi kwiNdugai amepanga atamrudisha bungeni kwa tiketi ya CHADEMA.