Na yule Mataga Silinde wamemnyoa Wajumbe wa Tunduma.Kuhama kwake sikuona tatzo ila maneno ya kuropoka yalkua mengi mno, kiuanaume haikukaa poa sana. Tujifunze kuwa na kaba wanaume. Hujui kesho yako
Nilipokuwa mdogo sikuelewa usemi wa wakubwa kwamba "mjumbe hauawi" sasa ndio nimekuja kuelewa kumbe maana yake ni kwamba wajumbe wenyewe ndio wauaji. Hahahhaa.Ni kama nilivyoeleza hapo juu naona mwamba karudisha mpira kwa kipa
CCM inawenyewe kama ni kujifunza siku nyingine hata apewe kitu gani hawezi kukubali tena
Pole kwa wote waliotia nia wakaambulia namba za viatu
Lijualikali katia nia kwenye Udiwani na kupata kura 5 hii ni hatari
Wakuu au kilimo cha nn kinabamba Kilombero? 🤣🤣🤣View attachment 1524814
Hahahahaha waitoe wapi,hiyo taarifa waelewa walijua mapema pale takokulu waliingia chaka!Huyu Lijualikali si ndiye aliyesababisha TAKUKURU wakachunguze matumizi ya fedha za makato ya posho/ mishahara ya Wabunge kwa ajili ya shughuli za Chadema?
Hivi TAKUKURU walishatoa matokeo ya uchunguzi wa matumizi mabaya ya fedha wabunge wa Chedema?
Yuko cheap sanaHizo milioni 250 za kiinua mgongo akanunue boda boda kama alivyosema...yaani unatoka ubunge kurudi udiwani wakati wenzake wanatoka udiwani kwenda ubunge,huyu ndio kaweka historia kutoka ubunge hadi kugombea udiwani.
Shibuda anagombea Urais kwa TadeaMaskini kashakuwa kama Shibuda
Asubirie vyeo vya uteuzi huenda akakumbukwa.
Kuna mtu alionya kuhusu Karma humu,kuhusiana na hii hamahama,mtu unaondoka kwa dharau wakati watu walikupigania kwa Jasho na Damu! Unadhani utabaki salama
Kwa kipindi kile ccm jimbo la kilombero lilikuwa la chadema tu,maana hata aliekuwa mbunge mteketa aliteuliwa tu lkn ilishinda chadema na alikuwa regia mtema kwa hiyo baada ya kuona mambo magumu ccm wakamtuma kingunge aje kuweka mambo sawa ndio akatangazwa mteketa huku regia mtema akipewa viti maalum,kwa bahati mbaya alifariki huyu dada kwa ajali ya gari na maziko yake kikwete alikuja ,wakati huo lijua likali bado anatunza dawa stoo pale ifakara
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Yale maneno aliyotapika,anataka kurudi tena Chadema ?Angebaki Chadema tu na huenda angeshinda hilo jimbo tena. Tamaa mbaya.
Hawa wanakuja cdm watu wanawaonaBwege tu yule .Hana ujanja wala usmart wowote wa kuishi mjini libaki tu huko Kikwavila na Siginali..dadek zake
BADO. Anatakiwa kwanza apate fundisho.Ndugu yangu Lijua likali angebaki CDM angeshinda vizuri kwa jinsi alivyokuwa akiheshimika.
Nimemfuatilia wakati nalima mpunga huko. Lakini tulisikitika Sana alivyohamia ccm. Mbaya zaidi Mh Lijualikali alikuwa anakubalika Hadi na Wana ccm alivyokuwa CDM. Vijana tunapopewa nafasi tuache habari za kufanya ya akina Lijua. Siyo mazuri.
Hii ni aibu. Chadema wamsamehe. Mbowe Msamehe kijana ingawa alikudhalilisha.Tumsamehe tu arudi nyumbani. Iwe fundisho Sana.
Nakumbuka Sana...Sasa hivi wanashinda kwa visuti vyao vya mariedo wanatuchukulia mapeasantHawa wanakuja cdm watu wanawaona
Yule mwenzake alipokuja cdm hata kuchana nywele alikuwa hachani muafro huo kutwa kuvaa sendles
Chama kimembeba hadi kumlipia Ada lkn eti Mwishowe wanaleta dharau
Wangeondoka kimya kimya tu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app