Uchaguzi 2020 Mwana wa kulitafuta Lijualikali kalipata, baada ya kuangukia pua Ubunge ajaribu udiwani na kuambulia kura 5. Adaiwa kutamani kurudi CHADEMA

Atarudishwa na boss, tusubiri
Watu wanafurahia tu lakini lazma mkuu ampe kinafasi cha kujishika tu. Na kwakwel km hawatawapa nafasi yoyote itafannya msimu ujao kutokuaminika na waunga juhudi na watakuwa wamefanya kosa kubwa sana
 
Watu wanafurahia tu lakini lazma mkuu ampe kinafasi cha kujishika tu. Na kwakwel km hawatawapa nafasi yoyote itafannya msimu ujao kutokuaminika na waunga juhudi na watakuwa wamefanya kosa kubwa sana
Atampa udc au Das lbda
Kuna tofauti kubwa ya kuchaguliwa na Kuteuliwa!
Kuchaguliwa kwa kura si mchezo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Habari kutoka huko jimboni Kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.

Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa CCM na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi CHADEMA.
Kilombero nimewaheshimu mmeiheshimisha Moro.
 
Mwache akalime ngapa Ifakara atapata akili mwaka 2025.
Hili ni zaidi ya funzo kwa lijuakali na viongozi wengine wa type yake

Lijuakali aliondoka kwa matusi na kejeli za kila aina na akajua kwmb ccm wao ni wajinga kiasi hicho ona aibu anazo pata sasa

Akatia nia ubunge kuptia ccm akapata kura 5 akasema ccm nyie msinitanie me ni mtoto wa mjini lazima niwe kiongozi wenu tu

Akachukua fomu udiwani akatia nia kura za maoni zmefika wajumbe wamemjaza upepo wako nae na akajaa wakaanza safari kugeuka nyuma hakuna mtu kapata kura 2 kwenye udiwani nako

Sasa wenyekiti wa mtaa ungemfaa lkn sio muda sahihi akagombee ata uenyekiti katka ukoo wanaweza kumuamini
Ijue nguvu ya wajumbe
Hata ccm wenyewe hatukufurahishwa na maneno ya huyu jamaa
Acha dunia imfundishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakumbukumbu sana Ndugai kidogo aue mtu kwa sababu ya ubunge tu
achana na Ubunge mzee jiran yangu hapa miaka mi 5 tu ana nyumba 7 za MAANA nazozijua na alikua kapanga...... Sabufa akaona njia ni hiyo tu kuponesha kitumbua chake hahaha
 
72 Reactions
Reply
Back
Top Bottom