kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,835
- 3,423
Hata ccm wenyewe hatukufurahishwa na maneno ya huyu jamaa
Acha dunia imfundishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha dunia imfundishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo yeye. Huyu ni 2015.Alipigwa na Ndugai.Huyo hapo mpeni pole mh LIJUALIKALI mjanja wa mjini kilombero View attachment 1525204
Vyovyote Ila kapigwaPole yake. Amepata kula 5 ama kura 5?
Watu wanafurahia tu lakini lazma mkuu ampe kinafasi cha kujishika tu. Na kwakwel km hawatawapa nafasi yoyote itafannya msimu ujao kutokuaminika na waunga juhudi na watakuwa wamefanya kosa kubwa sanaAtarudishwa na boss, tusubiri
Atampa udc au Das lbdaWatu wanafurahia tu lakini lazma mkuu ampe kinafasi cha kujishika tu. Na kwakwel km hawatawapa nafasi yoyote itafannya msimu ujao kutokuaminika na waunga juhudi na watakuwa wamefanya kosa kubwa sana
Siyo yeye. Huyu ni 2015.Alipigwa na Ndugai.
Vyovyote Ila kapigwa
Kilombero nimewaheshimu mmeiheshimisha Moro.Habari kutoka huko jimboni Kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.
Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa CCM na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi CHADEMA.
Ushaona watu wa mtaani wajinga!!?Ajaribu uenyekiti wa mtaa labda atafikiliwa
Bora awe bado anazo hizo pesa,mana kwa namna ya kura za Maoni ya Ccm,atakuwa amezitapanya kwa wajumbeHizo milioni 250 za kiinua mgongo akanunue boda boda kama alivyosema...yaani unatoka ubunge kurudi udiwani wakati wenzake wanatoka udiwani kwenda ubunge,huyu ndio kaweka historia kutoka ubunge hadi kugombea udiwani.
Unakumbukumbu sana Ndugai kidogo aue mtu kwa sababu ya ubunge tuSiyo yeye. Huyu ni 2015.Alipigwa na Ndugai.
Hili ni zaidi ya funzo kwa lijuakali na viongozi wengine wa type yake
Lijuakali aliondoka kwa matusi na kejeli za kila aina na akajua kwmb ccm wao ni wajinga kiasi hicho ona aibu anazo pata sasa
Akatia nia ubunge kuptia ccm akapata kura 5 akasema ccm nyie msinitanie me ni mtoto wa mjini lazima niwe kiongozi wenu tu
Akachukua fomu udiwani akatia nia kura za maoni zmefika wajumbe wamemjaza upepo wako nae na akajaa wakaanza safari kugeuka nyuma hakuna mtu kapata kura 2 kwenye udiwani nako
Sasa wenyekiti wa mtaa ungemfaa lkn sio muda sahihi akagombee ata uenyekiti katka ukoo wanaweza kumuamini
Ijue nguvu ya wajumbe
Hata ccm wenyewe hatukufurahishwa na maneno ya huyu jamaa
Acha dunia imfundishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
oyeeeeeée!!wajumbe Oyeeeeee
Nalog off
achana na Ubunge mzee jiran yangu hapa miaka mi 5 tu ana nyumba 7 za MAANA nazozijua na alikua kapanga...... Sabufa akaona njia ni hiyo tu kuponesha kitumbua chake hahahaUnakumbukumbu sana Ndugai kidogo aue mtu kwa sababu ya ubunge tu
Hawataki kujiajiriHapa ndo ujue kujiajiri ni rahisi ukiwa mbele ya mic na kamera tu. Majamaa pamoja na hela yote yaliyoipata bungeni bado wanapambana waajiriwe tena