Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,961
- 32,234
halafu platozoom wewe sio huyu mchoma chipsi wa hapa jirani na kwangu? na charminglady wewe sio yule dada huwa nanunua matunda kwake hapa Nyakato NHC, na BAGAH wewe sio yule muuza kande wa pale mitaa ya Nera?
hivi ni kweli 99% ya wanachitchat mnaishi Mwanza isipokuwa Bishanga tu anayeishi kamachumu? nitonye uliondoka mwaka gani pale kijijini kwetu rushwa? Kongosho umehama pale mhandu? Erickb52 utahama lini Nyegezi? Baba V isamilo kwema? Asprin anza kuhama mabatini TMA wametangaza mafuriko!! Kaizer siku hizi ile hiace ya Igoma buhongwa huendeshi tena? Judgement habari za kirumba mkuu? [MENTION=80055]Madame B[/MENTION] hivi umeshamaliza kale ka-bachela kako pale SAUT? KARIA CBE hamjambo? Kimbweka ile benz nimeiona imepaki Nyamagana mbona inafanana na ya kwako? Wakati ndo sasa vumilia tu nawe siku moja utajenga nyamhongolo, Mamndenyi poleni kwa usafiri wa kubahatisha wa huko Luchelele! Zinduna pale kwa kifua wazi umehama? na wengine mnikumbushe mitaa yenu
Smiling Saint jamani,
mbona pale nilishamaliza!!
Mpaka nikaajiriwa palepale?
Sa hv ni Lecturer hapohapo.
Last edited by a moderator: