Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Yap uko sahihi kabisaNilikuwa nachoka sana hata JF sipiti.....nilkuwa maeneo ya mji mpya next to Ngarenaro if am correct
Yap uko sahihi kabisaNilikuwa nachoka sana hata JF sipiti.....nilkuwa maeneo ya mji mpya next to Ngarenaro if am correct
Nilikuwa nachoka sana hata JF sipiti.....nilkuwa maeneo ya mji mpya next to Ngarenaro if am correct
Hahahaaaa ndio maana yakeKumbe nimekuwa mwenyeji............Halfu nilikuwa sijacheki signature yako "Moro...Mji Kasoro Bahari Mpo?
b52 kutua mjini!"
ah ha ha ha hah h kwani baada ya kusoma certificate in business studies hukuendelea tena pale CBE?
Itakuwa ni Makao mapya. Huku hakuna mji mpya!
karibuni kwangu Chumvini....barabara ya kuelekea mapango ya Amboni!!!! Mtakula vibibi na pepeta na uwono......
mimi na ma swtlo Kaizer tunaish nyumbani tandika double cabin kwenye wauza mchele ule wenyewe toka bara na pwani. mwanangu Ronn M kwasasa ameoa hivyo anaish magomeni mikumi na mkewe jeneneke. dada yangu mkubwa ( mke mkubwa ) AshaDii tunaish naye nyumba moja ua mmoja, tunakula na kupika pamoja, ila kila mtu ana chumba chake ili kulinda heshima ya ndoa yetu.
OMG!!:flypig::flypig::flypig:Bila shaka ni she...........lakini hata kama ni wa upande wa pili unafunika kombe tu.....................
Hehehehehe.......... Huyo kwani ni he/she?
Kwanza tuanzie hapo.