Mie kwa kweli niko Dodoma,Njia ya kuelekea mnadani kuna kituo kinaitwa 'Mti mkubwa'
Ukishuka hapo angalia nyuma yako utaona nyumba ina geti jekundu..karibuni!
Mr Rocky nakutafuta sana aiseeNiko hungumalwa barabara ya mwanza shinyanga. Kuna nyumba mpya pale ndo nimeuza pamba nikajenga. Na ina mpaka vyumba vya wageni mnakaribishwa sana.
Nipo kamanda.!Umekimbia Arachuga?
Naishi Olmatejo baada ya kuhama makaburi ya baniani, njia ya esso kwenda sokoni wani. Mamalizia kodi niamie Kiding'a! Jimbo la Arumeru Magharibi, wilaya ya Arusha Urban, mkoani Arusha!
Hahahaaaa sawa kijana ntakupa mreport kama nikipata nafasi ya kuzurulaMoro pamekaa kushoto kwangu huwa napita tu..........ila mji poa na kibaridi kama cha Arachuga
Kijana mzima wewe?Naishi Olmatejo baada ya kuhama makaburi ya baniani, njia ya esso kwenda sokoni wani. Mamalizia kodi niamie Kiding'a! Jimbo la Arumeru Magharibi, wilaya ya Arusha Urban, mkoani Arusha!
Hahahaaaa sawa kijana ntakupa mreport kama nikipata nafasi ya kuzurula
Chuga winter kali sana ila labda ni kwetu mabachela tu siwasemei wengine
Mmmmmmmh.......acha kamba "Kiding'a! Jimbo la Arumeru Magharibi, wilaya ya Arusha Urban, mkoani Arusha!
Ulikuja kimya kimya?Chuga nilipita mwezi uliopita......kibaridi balaa, ila alhmdulilah sikupigwa visu mtaani
Kijana mzima wewe?
Nilitaka kukutafuta mida fulani ila nkajikuta nimetokezea Olmatejooo dah