Mwamba huyu hapa

Asofuata Uislamu lazima atahangaika kwenye hii dunia
Binadamu mnajiekea sheria zenu ambazo ni kandamizi kwenu wenyewe hlf mnajiita mna akili

Muumba katuletea Muongozo ila watu wameukataa wanafata matamanio yao tu na haya ndo matokeo yake
Upo sahihi mkuu
 
Kuna siri kubwa sana nyuma ya kuta za nyumba kwa mwanaume rijali ambaye ameshibana sana na mama yake mzazi na wanaishi single single kila mtu (mama hana mume na kijana hana mke).

Au basi
 
Bwana wee raha ya dunia kutomberna
 
Ila kuishi kwenye ndo hakya ya mungu nikuuza uhuru,yaan huwi huru mwenyew mpaka na uchumi wako

Aiseee ni ujinga kabisa
Mie sielewi kabisa yaani wanawake wazuri walivyojaa mtaani eti wee na akili zako unasema utulie nda i na mmoja🤣🤣🤣🤣
Raha ya dunia ni kutomberner bwana tena mademu tofauti tofauti
 
Mwanamme anayekataa ndoa ni:

1) Hana nguvu za kiume.
2) Mwenyewe anatamani aolewe (ni wale wale).
3) Ana mume wake wa siri.
 
Acha kupotosha watu mkuu,, narudia tena acha kama unaamini hoja yako ina mashiko njoo kwa ground tubattle kwa hoja mimi naipinga hoja yako hapa hapa na naamini nitakumeza.
 
Acha kupotosha watu mkuu,, narudia tena acha kama unaamini hoja yako ina mashiko njoo kwa ground tubattle kwa hoja mimi naipinga hoja yako hapa hapa na naamini nitakumeza.
Mbona kama una stress ndugu sasa tubattle nini tena na nilishaandika hoja yangu nikamaliza hili ni jukwaa huru unaweza andika na zako pia hakuna anaekuzuia
 
Mbona kama una stress ndugu sasa tubattle nini tena na nilishaandika hoja yangu nikamaliza hili ni jukwaa huru unaweza andika na zako pia hakuna anaekuzuia
Nimekupa mualiko mkuu sio mpaka nikutag
Na kuhusu stress huna uwezo wa kulibaini hilo,
Karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…