Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,652
- 5,133
Musiwapoteze watu kwa ujinga wenu..tamaduni zitabaki kuwa tamaduni suala la kutokuwa na mahusiano/ndoa nalo linaeffect kubwa,akili zenu zimekuwa za kutafuta pesa as if hiyo pesa unazikwa nayo kumbe na wewe unaicha na haujui hata lini unakufa.
mna upuuzi sana wadau
mna upuuzi sana wadau