Kwa mateso ya hii dunia kuna wakati huwa naona bora mtu usizae, usilete watoto waje kuteseka, wewe pita tu ujifie, saidia maskini waliopo kisha UFE tu.
Kikubwa ni kwamba hizo ni opinions zake. Na wewe ruksa kuwa na za kwako.Opinions za watu wengine zinaweza kuwa si sahihi kwa watu wengine pia.
Una uhakika ni muongozo wa Muumba??Muumba katuletea Muongozo ila watu wameukataa wanafata matamanio yao tu na haya ndo matokeo yake
Braza kununua sex wala huhitaji utajiri wa $200m.Utajiri wa 200m us dollars sii mchezo anaweza fanya lolote atakalo ndio maana hata sex akitaka ananunua.
Ni tofauti na Bongo ambapo vijana hatuna pesa mtu hana mke mbadala wake anaenda Riverside au Kimboka kutafuta K sii usenge huo kujiongezea mibalaa na nuksi.
Hakuna kitu kibaya maishani kama kijana 30+ anaeishi bachelor halafu hana pesa utaishi maisha ya stress balaa kuliko ambae anafamilia.
Ahahahaha.Oya mzee tupo 30+ hatuna pesa, hatuna familia na stress hatuna mzee.
Mkuu mbona unalazimisha watu wawe na stress wakat wenyewe wanasema hawana ?? 😂😂😂😂😂.Lazima tu stress utakuwa nayo mkuu. Kama unaishi maisha ya kuganga njaa ubachelor sio mzuri maana kuna vitu utatakiwa kufanya mwenyewe ambavyo haviendani na umri wako.
Yaani sex ya 10k demu anatombwa na wanaume 10+ na wewe bado unaenda hapo sasa ni sex au uchafu.Braza kununua sex wala huhitaji utajiri wa $200m.
Sex mpaka ya 10k tshs unaipata.
Hata huyo mwenye $200m anaenujua unafikiri anamtomba mwanamke peke yake? Anatomba panapotombwa na wengi mnoo. Ndio sex ya kununua.Yaani sex ya 10k demu anatombwa na wanaume 10+ na wewe bado unaenda hapo sasa ni sex au uchafu.
Mimi nazungumzia unatoa 10k kununua malaya ambae ametoka muda huo huo kulala na wanaume zaidi ya 10 sasa uo sii upumbavuHata huyo mwenye $200m anaenujua unafikiri anamtomba mwanamke peke yake? Anatomba panapotombwa na wengi mnoo. Ndio sex ya kununua.
Na mbaya zaid hata wake zetu pia wanatombwa na watu wengi vile vile. Sasa hapo sijui unasemaje?
What difference does it make mzee?? Nikuulize swali ushawahi kununua malaya???Mimi nazungumzia unatoa 10k kununua malaya ambae ametoka muda huo huo kulala na wanaume zaidi ya 10 sasa uo sii upumbavu
Sijasema zinanitatiza,soma uelewe kilichoandikwa.Kikubwa ni kwamba hizo ni opinions zake. Na wewe ruksa kuwa na za kwako.
Ukiona opinions za watu zinakutatiza, jichunguze, una shida mahala
Unaweza kumuita demu geto ambae huyo demu anamichepuko yake ukawa nae usiku mzima. Nitofauti kabisa na mtu anaetoa 10k anaenda kununua malaya ambae muda huo huo ananuka jasho la wanaume wengine.What difference does it make mzee?? Nikuulize swali ushawahi kununua malaya???
Hiyo ni kwako si kwake yeye.Sema watoto nao wana umuhimu wake hasa cash ukiwa nayo kama mwamba huyo