Mwamba huyu hapa

Mwamba huyu hapa

Kwa mateso ya hii dunia kuna wakati huwa naona bora mtu usizae, usilete watoto waje kuteseka, wewe pita tu ujifie, saidia maskini waliopo kisha UFE tu.
Kwa maana hiyo unataka Dunia ife ? Maana kama watu hawatazaa inamaanisha itafika muda hakutakuwa na watu na mwisho wa siku Dunia kuwa pori tupu lenye wanyama na wadudu na kuwa sehemu ya vutugu ya wanyama wakali?
 
Kitu ambacho wengi tusiopenda ndoa hatuko tayari kukiri ni kuwa “We have been heart broken by our parent's/Primary caregivers in a very early age”

Hatuko tayari kwa huu mjadala.

Kwa mfano mtu anajuaje kuwa atakayemuoa/atakayeolewa nae atakuja kuwa tatizo? In most cases sisi wenyewe ni matatizo kuliko huyo atakayeingia kwenye maisha yetu.

Kwa kulijua hilo ni vizuri kujitenga kuletea watu matatizo.
 
Kama una Pesa, una umaarufu, hauhitaji mtoto na wala sio mtu wa dini kwamba uasherati kwako ni dhambi basi hauna haja ya kuoa. Kwa sisi wengine tuoe tu.
 
Kwa mateso ya hii dunia kuna wakati huwa naona bora mtu usizae, usilete watoto waje kuteseka, wewe pita tu ujifie, saidia maskini waliopo kisha UFE tu.
Hii ndio yenyewe mwanawane
 
Umesahau kuweka msalaba?
Unadhani vita ni nguo
Subiri sasa ndio utajua hujui
Record ya tone tone Dodoma Milioni ni 2 laki ni 7 elfu ziko 66 na 350.
Yaani 2,766,350/=
The new record credited by Boniface Jacob
Thank you Dodoma
 
Labda hanithi?who knows!

Maana vitu vingine kuvijua huwa siri hasa anapokuwa mtoto wa kiume ni ngumu kujua ni mzima au siyo mzima na technical huwezi kumuuliza hilo swali ukaeleweka unaweza ukaonekana chakla ya vijana,ila kwa mimi mzima kuoa nitaoa siwezi kuamkia sabuni mimi hata kama kugawana mali hizo mali za kugawana ziko wapi?
 
Kuoa au kutokuoa ni fikra, hisia, maono na option tu za mtu binafsi tu.
 
Back
Top Bottom