Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 200
- 435
Sometimes walimu wanapitia magumu sana kutokana na beef za kijinga na baadhi ya viongozi wao kwenye vituo vyao vya kazi. Sababu nyingi huwa za kijinga kabisa! Angalieni Mfano wa hiki kisa cha mwalimu huyu.
Ndoto za mwalimu mahiri kabisa zilitaka kuzimwa na mmoja wa viongozi wake wa juu wa shule aliyoihama baada ya kutengenezewa kashfa nyingi za utovu wa nidhamu huku uhalisia ukiwa ni kumzidi kete kiongozi huyo katika kummliki madam mmoja(jina kapuni). Jamaa alitengenezewa zengwe likianzia kwa boss wake akishirikiana na Afisaelimu kata mpaka mamlaka za kinidhamu ili kummaliza!Matumizi mabaya ya madaraka!
Kama siyo utu, busara,utulivu na werevu wa boss wa elimu katika halmashauri husika mwisho wa huyu mwalimu ungekuwa mbaya sana na mizengwe ingezidi kuna uwezekano angekuwa kwenye hatari zaidi ya kupoteza kazi!
Ushauri
1. Vetting inatakiwa sana katika uteuzi wa wakuu wa taasisi nyingi za kiserikali Mfano shule otherwise migogoro isiyo na maana itazidi kukua kwa kila iitwao kesho!
2.Wenye mihemko wasipewe mamlaka makubwa watakuwa wanaleta maafa!
Kina hawa wapo wengi sana nchini, busara zitumike zaidi kusolve migogoro kuepusha kuumiza wasio na hatia!
3.Mr x chapa kazi hapo Manyama nyama sec mpaka mbaya wako ajutie!
It's me mjukuu wa kigogo,a voice of voiceless people!
Ndoto za mwalimu mahiri kabisa zilitaka kuzimwa na mmoja wa viongozi wake wa juu wa shule aliyoihama baada ya kutengenezewa kashfa nyingi za utovu wa nidhamu huku uhalisia ukiwa ni kumzidi kete kiongozi huyo katika kummliki madam mmoja(jina kapuni). Jamaa alitengenezewa zengwe likianzia kwa boss wake akishirikiana na Afisaelimu kata mpaka mamlaka za kinidhamu ili kummaliza!Matumizi mabaya ya madaraka!
Kama siyo utu, busara,utulivu na werevu wa boss wa elimu katika halmashauri husika mwisho wa huyu mwalimu ungekuwa mbaya sana na mizengwe ingezidi kuna uwezekano angekuwa kwenye hatari zaidi ya kupoteza kazi!
Ushauri
1. Vetting inatakiwa sana katika uteuzi wa wakuu wa taasisi nyingi za kiserikali Mfano shule otherwise migogoro isiyo na maana itazidi kukua kwa kila iitwao kesho!
2.Wenye mihemko wasipewe mamlaka makubwa watakuwa wanaleta maafa!
Kina hawa wapo wengi sana nchini, busara zitumike zaidi kusolve migogoro kuepusha kuumiza wasio na hatia!
3.Mr x chapa kazi hapo Manyama nyama sec mpaka mbaya wako ajutie!
It's me mjukuu wa kigogo,a voice of voiceless people!