Mwalimu Shule ya Sekondari Mlale ajiua kisa ugumu wa maisha

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,288
21,467
Mwalimu wa shule ya sekondari Mlale iliyopo wilayani Ileje mkoani Songwe, Benedictor Mwakinyabili amejiua kwa kujinyonga katika nyumba aliyokuwa akiishi huku chanzo cha tukio hilo kikielezwa kuwa ni msongo wa mawazo ulitokana na kuumwa mgongo na tumbo muda mrefu.

Matukio ya kujinyongwa yamekuwa yakijitokeza katika jamii, unadhani nini kifanyike kuondokana na changamoto hiyo?

Tuandikie maoni yako na tutayasoma #AdhuhuriLive saa 7:00 kwenye channeli ya #UTV.
 
Mualimu licha ya kua na bima ya NHIF wanashindwa hata kujitibu mpaka wajinyonge, kuna haja ya kuongeza magonjwa na vipimo zaidi ili hiyo bima iwe na manifa kwa watumishi sio kutibu malaria na typhoid tu,.....sasa ona mualimu kajinyonga kwakukosa matibabu.
 
Mwalimu wa shule ya sekondari Mlale iliyopo wilayani Ileje mkoani Songwe, Benedictor Mwakinyabili amejiua kwa kujinyonga katika nyumba aliyokuwa akiishi huku chanzo cha tukio hilo kikielezwa kuwa ni msongo wa mawazo ulitokana na kuumwa mgongo na tumbo muda mrefu.

Matukio ya kujinyongwa yamekuwa yakijitokeza katika jamii, unadhani nini kifanyike kuondokana na changamoto hiyo?

Tuandikie maoni yako na tutayasoma #AdhuhuriLive saa 7:00 kwenye channeli ya #UTV.
CCM
 
Mwalimu wa shule ya sekondari Mlale iliyopo wilayani Ileje mkoani Songwe, Benedictor Mwakinyabili amejiua kwa kujinyonga katika nyumba aliyokuwa akiishi huku chanzo cha tukio hilo kikielezwa kuwa ni msongo wa mawazo ulitokana na kuumwa mgongo na tumbo muda mrefu.

Matukio ya kujinyongwa yamekuwa yakijitokeza katika jamii, unadhani nini kifanyike kuondokana na changamoto hiyo?

Tuandikie maoni yako na tutayasoma #AdhuhuriLive saa 7:00 kwenye channeli ya #UTV.


Watu wamuombe Mungu Baba Mwenyezi, wapunguze tamaa sana na waache kuishi maisha ya kuigiza, zaidi ya hapo mtu akiamua kujinyonga hata Mbinguni akifika atahukumiwa pia
 
Mwalimu wa shule ya sekondari Mlale iliyopo wilayani Ileje mkoani Songwe, Benedictor Mwakinyabili amejiua kwa kujinyonga katika nyumba aliyokuwa akiishi huku chanzo cha tukio hilo kikielezwa kuwa ni msongo wa mawazo ulitokana na kuumwa mgongo na tumbo muda mrefu.

Matukio ya kujinyongwa yamekuwa yakijitokeza katika jamii, unadhani nini kifanyike kuondokana na changamoto hiyo?

Tuandikie maoni yako na tutayasoma #AdhuhuriLive saa 7:00 kwenye channeli ya #UTV.
Wengi wetu tunapenda kukaa peke yetu na mambo yetu hufanywa kuwa si
Mwalimu wa shule ya sekondari Mlale iliyopo wilayani Ileje mkoani Songwe, Benedictor Mwakinyabili amejiua kwa kujinyonga katika nyumba aliyokuwa akiishi huku chanzo cha tukio hilo kikielezwa kuwa ni msongo wa mawazo ulitokana na kuumwa mgongo na tumbo muda mrefu.

Matukio ya kujinyongwa yamekuwa yakijitokeza katika jamii, unadhani nini kifanyike kuondokana na changamoto hiyo?

Tuandikie maoni yako na tutayasoma #AdhuhuriLive saa 7:00 kwenye channeli ya #UTV.
Wengi wetu tunapenda kukaa peke yetu na mambo ya kujitenga na jamii hatuna mpango wa kushirikisha ndugu au jamaa,mambo tunayopitia.Na pili kutomtanguliza Mungu kuwa wa kwanza kiasi kwamba tunajitenga na kuamua maamuzi kama haya ya kujinyonga kama ndio njia sahihi!
 
Wengi wetu tunapenda kukaa peke yetu na mambo yetu hufanywa kuwa si

Wengi wetu tunapenda kukaa peke yetu na mambo ya kujitenga na jamii hatuna mpango wa kushirikisha ndugu au jamaa,mambo tunayopitia.Na pili kutomtanguliza Mungu kuwa wa kwanza kiasi kwamba tunajitenga na kuamua maamuzi kama haya ya kujinyonga kama ndio njia sahihi!
Halafu mimi nikiwa baa nacheza Papaa Mobimba wananishangaa!Furahi hata kama kuna grudges within yourself!🙏😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom