figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,493
- 54,900
"Kama ningeweza kukivuta kisiwa hicho katikati ya Bahari ya Hindi, ningefanya hivyo."
Alisema kwamba anafikiri mojawapo ya matatizo makubwa ya Tanganyika katika miaka ya baadaye itakuwa Zanzibar. Hapana, sifanyi mzaha," alisema
Aliyasema hayo katika tafrija ya chakula cha jioni jijini Dar es Salaam mwaka mmoja au miwili kabla ya uhuru wa Tanganyika.
Julius Nyerere akiwa na Haile Selassie I