Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,026
- 12,338
Hallo,
Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.
Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.
Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.
Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.
Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.
Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.
Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.
Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.
Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.
Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.
Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.
Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.
Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.